Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Wewe ni Mhasibu uchwara.

Na kama kweli wewe siyo Mhasibu uchwara, basi uje na uzi wa thamani halisi ya golikipa wenu Ayubu ni bilioni 3? Au Bosi wako Mwamedi amewalisha matango pori.
 
Leo nmezunguka viwanja vyote vya tanzania
Nkaweka camera zinazohisi magoli ya aziz ki
Kisha nkaongea na moderator wa jf
Hivyo kuanzia leo hatutafungua uzi hu tena
Ila system ya jf itakucheka yenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Teh teh teh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mr Accountant....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…