Mwasibu ameshalala muda huu. Baada ya mechi alimeza pilitoni, akalala 😅Tunaendelea upande wa pili wa mahesabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu huwa anajikuta mtu mmoja makini,kwa hapa kaumbukaHili ni lihasibu la buza kwa mama kibonge.
Hapa hesabu za kihasibu zimeenda mrama[emoji23][emoji23][emoji1787]View attachment 2805189
Muhasibu ana kesi ya kujibuIla hii double entry yako ni feki...baada ya ku recognise expenditure kwa kununua mchezaji which was also wrong.
Kwenye loss recognition entry you don't recognize expenditure again but rather you recognize loss kwenye P&L na Loss provision kwenye Balance sheet.
Correct double entries:
1. On player's acquisition:
Dr Investments in players (players are assets to the club)
Cr Bank
2. Writing off a player:
Dr P&L...player written off
Cr B/S ...Provision for players write off
3. On taking off the player from the club's books:
Dr B/S provision for players write off
Cr B/S investments in players
B/S ni Balance sheet aka statement of financial position.
Ukitaka kujua football players accounting angalia published accounts za listed football clubs hasa za United kingdom, freely available on the internet...usitegemee sana madesa yenu ya NBAA!
Mkuu mpe space jamaa unapiga hapumuiMnoutumia jina la Muhasibu mlimwe ban tulikubaliana kuwa ataitwa ndugu Mwasibu sawa ?
Huyo tushamzoea. Alianzisha wa mayele akaingia mitiniHalafu huwa anajikuta mtu mmoja makini,kwa hapa kaumbuka
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ni mwasibuMuhasibu ana kesi ya kujibu
MwasibuMuhasibu eeh njoo na uchambuzi wa kihasibu wa pacome 😂😂😂
Usikute hakuwahi kusomaHivi huyu mhasibu wetu alisoma chuo gani? GPA yake ilikuwaje? 😁😁🏃🏿♂️
Anasomaga magazeti pale msimbaziUsikute hakuwahi kusoma
Ni mbumbumbu namba mojaAnasomaga magazeti pale msimbazi
na yametimia, mkuu heshima kubwa kwako, uliona mbali sanaMkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
bado unashikilia hili au unatengua kauliAmna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?
Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong
Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Waambie Mwasibu hawakuelewi mtaalamuLabda mpuuzi mama yako. Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu