Kwakweli[emoji28]Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
na tupo hapa kuhakikisha mwasibu hapati usingizi, tunajua anasoma koment kimyakimya.huu uzi mpaka aziz k aondoke yanga hasibu atapitia wakati mgumu sana.
muasibu anapita kimya kimya anawapangaji wake wanampa stress.na tupo hapa kuhakikisha mwasibu hapati usingizi, tunajua anasoma koment kimyakimya.
mwasibu vp bado una la kusema au tukupumzishe kdogo
huu uzi mpaka aziz k aondoke yanga hasibu atapitia wakati mgumu sana.
Mtoa mada una gundu,
Kila unachotabiri kinakugeuka[emoji28]
HahahaMimi Nina ID moja tu Jf miaka yote ,tafadhali usifuate mlengo wa Maghayo The Mongolian Savage na genge lake ovu..