Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mpaka Aziz aondoke bongo jamaa atakonda!Mhasibu umesemaaaa!!!????
Jamaa aombe Mods wamfutie huu uzi…aibu gani hii
Taarifa ni kuwa Aziz Ki anatimkia SimbaMpaka Aziz aondoke bongo jamaa atakonda!
Hahahahaba aache utabiriMtoa mada una gundu,
Kila unachotabiri kinakugeuka[emoji28]
Ukute azizi k alisoma huu uzi , sasa kila mechi anaukumbukaMpaka Aziz aondoke bongo jamaa atakonda!
Huyu mhasibu anaeza ua kampuniHuu uzi hautakiwi kufutwa[emoji23][emoji23][emoji23]lazima tuone mahesabu ya muhasibu wa mchongo.
Amka kabla hujaharibu tandiko.Taarifa ni kuwa Aziz Ki anatimkia Simba