Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964343
[emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo ni data ya kidunia.
Messi kaipatia makombe ya kimataifa mara nyingi Argentina kuliko Maradona.
Takwimu hizo hapo.
Yani jamaa kaenda mbali hadi kumshusha Pele kwa Maradona.View attachment 2964233View attachment 2964234
Kuna statistics nyingine zinahitaji uwe umekula bangi ndio uzilete jukwaani. Sasa kipindi Cha Maradona Baloon D'or ilikwepo?
 
Kuna statistics nyingine zinahitaji uwe umekula bangi ndio uzilete jukwaani. Sasa kipindi Cha Maradona Baloon D'or ilikwepo?
Nahisi wewe utakua ndio umevuta bangi.
Katika vitu vyote umeona Ballon d'or tuu!?
Hujaona makombe ya kimataifa?
Hujaona jumla ya magoli ya timu ya taifa?
Hujaona jumla ya mataji ya timu ya klabu?
Acha kuvuta bangi ukiwa chooni tena mchana jua kali choo hakina bati.
 
Back
Top Bottom