Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
[emoji1787][emoji1787]Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964343
Hapo vp mzee bado unaendelea na msimamo wako au tuendelee kuupa wakati muda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bila kujali ushabiki, Yanga walipigwa.
Kuna statistics nyingine zinahitaji uwe umekula bangi ndio uzilete jukwaani. Sasa kipindi Cha Maradona Baloon D'or ilikwepo?Hiyo ni data ya kidunia.
Messi kaipatia makombe ya kimataifa mara nyingi Argentina kuliko Maradona.
Takwimu hizo hapo.
Yani jamaa kaenda mbali hadi kumshusha Pele kwa Maradona.View attachment 2964233View attachment 2964234
Nahisi wewe utakua ndio umevuta bangi.Kuna statistics nyingine zinahitaji uwe umekula bangi ndio uzilete jukwaani. Sasa kipindi Cha Maradona Baloon D'or ilikwepo?
😁😁😁anailawiti kabisaAziz ki akatafute changamoto ulaya hapa bongo ni kama mzee wa miaka hamsini kutembea na mwanafunzi anaibaka ligi ya bongo ,
Hongera Aziz ki
Hongera GSM
Hongera Yanga