Hivi n mimi nilichangia huu uzi??? Dooo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ni kweli mama❤️😅😅
Mtani,hadi wewe unamgeuka mhasibu?😂💔Hivi n mimi nilichangia huu uzi??? Dooo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nilisahau kama nilishawahi changia uzi huu jamani mtaniMtani,hadi wewe unamgeuka mhasibu?😂💔
Mtani tuungane kuwaita mods wafute uziNilisahau kama nilishawahi changia uzi huu jamani mtani
Tuko pamoja na wewe mama etuu😅Hivi n mimi nilichangia huu uzi??? Dooo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Haya vijana wangu...uacheni uzi mpk Azizi ufunguo aondoke klabuni...Tu
Tuko pamoja na wewe mama etuu😅
Diego Maradona alikuwa rafiki binafsi wa Rais wa Napoli.Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Ulikuwepo?Diego Maradona alikuwa rafiki binafsi wa Rais wa Napoli.
Kwahiyo Eng ana haki ya kuwa na urafiki binafsi na mchezaji huku wachezaji wote wakipata haki zao za mikataba.
Si unajuwa hata mkude alimuomba nyapu madam Barbara?
Kwani hujui kisa cha Mkude kusimamishwa Simba?Ulikuwepo?
HakuombaDiego Maradona alikuwa rafiki binafsi wa Rais wa Napoli.
Kwahiyo Eng ana haki ya kuwa na urafiki binafsi na mchezaji huku wachezaji wote wakipata haki zao za mikataba.
Si unajuwa hata mkude alimuomba nyapu madam Barbara?
Mwachibu analijuwa hili?Hakuomba
Alipewa bule bwana😅😅
Ndio wakati wake.Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Labda... ngoja tuone kesho itakavyokuaKiatu Kwa feisal
Inshaalah