Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
 
Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Diego Maradona alikuwa rafiki binafsi wa Rais wa Napoli.

Kwahiyo Eng ana haki ya kuwa na urafiki binafsi na mchezaji huku wachezaji wote wakipata haki zao za mikataba.

Si unajuwa hata mkude alimuomba nyapu madam Barbara?
 
Diego Maradona alikuwa rafiki binafsi wa Rais wa Napoli.

Kwahiyo Eng ana haki ya kuwa na urafiki binafsi na mchezaji huku wachezaji wote wakipata haki zao za mikataba.

Si unajuwa hata mkude alimuomba nyapu madam Barbara?
Ulikuwepo?
 
Diego Maradona alikuwa rafiki binafsi wa Rais wa Napoli.

Kwahiyo Eng ana haki ya kuwa na urafiki binafsi na mchezaji huku wachezaji wote wakipata haki zao za mikataba.

Si unajuwa hata mkude alimuomba nyapu madam Barbara?
Hakuomba
Alipewa bule bwana😅😅
 
Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Ndio wakati wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…