Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Moderators
Active ,Maxence Melo Paw
Muhurumieni jamaa mfunge uzi..
Watu wamemuandama mno.
Wakiufunga moto utakaowawakia hawataamini. Wauache tu maana mwasibu mwenyewe ni ngangari kweli kweli!

On a serious note: Sidhani kama anachukulia serious japo pale mwanzoni alikuwa mkali kweli kweli. Natumaini huwa anaishia kucheka tu!
 
Moderators
Active ,Maxence Melo Paw
Muhurumieni jamaa mfunge uzi..
Watu wamemuandama mno.
Uzi wa Takwimu Kibu D Vs Mayele baada ya watu kumuandama ,mods wakaedit heading wakatoa neno "Zinatia uchungu sana " kama humu watoe neno "Kihasibu" ambao kimsingi mashambulizi yamebase kwenye hayo maneno , mods hawakuridhika wakafuta comment nyingi mule sisi tukawa hatujui mpaka kelphin akatustua kuwa huu Uzi tayari umehujumiwa.

Baada ya hapo tukaanzisha mgomo mule na hashtag nyingi za #BringBackOurHeading na Comments,pamoja na kuwatuhumu mods kuwa Anko Mwasibu kawapa hongo waudhoohofishe Uzi ,tukamtag mpka Maxece Melo na kutishia kuwa hatukubali sio haki walichofanya na wasipokubali matakwa yetu hatutochukulia Hilo swala kiurahisi tutawafikisha Jf pabaya.

Ilikuwa mtiti sana mpaka Mimi kiongozi wa Mgomo huo nikahisi nitatumiwa polisi kukumatwa au nitapewa Ban , akaja mod Cookie akasema kwamba Kuna siku niliwahi kusema kuwa Mods wamuhurumie wabadilishe heading inamdhalilisha na wafunge Uzi ndio maana wamefanya hivyo , nikakumbuka kuwa niliwahi kusema kweli ila kimasihara ikabidi niwaonbe radhi raia wenzangu na Uzi mods wakaurejesha kama tulivyotaka katika asili yake.
 
Uzi wa Takwimu Kibu D Vs Mayele baada ya watu kumuandama ,mods wakaedit heading wakatoa neno "Zinatia uchungu sana " kama humu watoe neno "Kihasibu" ambao kimsingi mashambulizi yamebase kwenye hayo maneno , mods hawakuridhika wakafuta comment nyingi mule sisi tukawa hatujui mpaka kelphin akatustua kuwa huu Uzi tayari umehujumiwa.

Baada ya hapo tukaanzisha mgomo mule na hashtag nyingi za #BringBackOurHeading na Comments,pamoja na kuwatuhumu mods kuwa Anko Mwasibu kawapa hongo waudhoohofishe Uzi ,tukamtag mpka Maxece Melo na kutishia kuwa hatukubali sio haki walichofanya na wasipokubali matakwa yetu hatutochukulia Hilo swala kiurahisi tutawafikisha Jf pabaya.

Ilikuwa mtiti sana mpaka Mimi kiongozi wa Mgomo huo nikahisi nitatumiwa polisi kukumatwa au nitapewa Ban , akaja mod Cookie akasema kwamba Kuna siku niliwahi kusema kuwa Mods wamuhurumie wabadilishe heading inamdhalilisha na wafunge Uzi ndio maana wamefanya hivyo , nikakumbuka kuwa niliwahi kusema kweli ila kimasihara ikabidi niwaonbe radhi raia wenzangu na Uzi mods wakaurejesha kama tulivyotaka katika asili yake.
Uzi hauna tatizo. Ni kijiwe kizuri cha burudani hiki!

Long live CPA mwasibu wetu 👏👏👏
 
Back
Top Bottom