Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account

The stone the builders rejected has become the cornerstone.

Jiwe walilokataa waashi.
 
Haaaaaaaahahaaaaahahaaa

Mke wa mwasibu baada ya kuona vyeti vya muhasibu
 

Attachments

  • IMG_1325.jpeg
    IMG_1325.jpeg
    57.9 KB · Views: 5
Sisi humu ni waungwana sana mbona Uzi wa Takwimu Kibu D Vs Mayele kamati ya wandewa tutakubaliana kusamehe na Uzi kuuacha baada ya kuwa mpole na kutimiza masharti yetu.

Na huu tungeutelekeza angekubali kuwa alibumbwa na kuomba radhi ila Cha kusikitisha ndugu Mwasibu licha ya wazee wenye hekima wakina Tate Mkuu na Dr Matola PhD kumsihi atulie bado akawa anashusha matusi kwa wachangiaji ,kejeli pamoja na dislikes. Sasa Wandewa tukaona jamaa inabidi aendelee kupigwa spana bila kupoa mpaka akubali masharti
Hahahahaha...kudadeki
 
Back
Top Bottom