Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Ndimu mkata shombo
Mzee wa kazi
Ndugu wa damu na OKW😅
 

Attachments

  • 73F3D86B-D963-442A-96CB-C877FC06F6E6.jpeg
    73F3D86B-D963-442A-96CB-C877FC06F6E6.jpeg
    305.9 KB · Views: 5
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Mwasibuuuu tuendelee na profit and loss account.....au tufanye tu double entry???
 
Back
Top Bottom