Asisahau income statementMwasibuuuu tuendelee na profit and loss account.....au tufanye tu double entry???
Atakuja baadaye kugawa dislikes....Mwasibu Aziz ki anakupigia simu, pokea.
Apia!!!!!πΉAmna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?
Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong
Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Rafiki ake mwasibu π€£π€£π€£Mwenzenu yupo kuwapa Amsha amsha utopolo kwa mbio hajaja kufunga labda wambadilishie role yake.
Kwa quotes hizi mwasibu sijui ana hali gani huko. π€£Mwasibu wanayanga tunaomba uandike kuhusu Ki msimu umeisha na hajachezea uvunguni....
Page ya Mwasibu notification 999+ π€£π€£π€£Kwa quotes hizi mwasibu sijui ana hali gani huko. π€£
Mwasibu, Aziz Ki kapiga Goli 3 akiwa Public SIO uvunguni unatoa maoni gani HAPO?Labda mpuuzi mama yako. Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
π€£π€£Page ya Mwasibu notification 999+ π€£π€£π€£
Hahahaa. Haezi rudia hii kitu tena Shem. ππMwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa tunasubiria tena uje na hesabu.
Nilikuonya mapema sana mwasiiiiibu...... kiko wapi sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Ndiyo akome sasa. Uchambuzi wa mchele badala ya mchezaji.Hahahaa. Haezi rudia hii kitu tena Shem. ππ