Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Poleni sana,tunawaelewa maumivu mnayopitia.

Kuna wachezaji mlisema mmemuiba airport
Kuna Jobe,Fred,Babacar lazima muwe na stress kwasababu ni magunia ya misumari mmetwishwa
 
Loss ina kiatu cha dhahabu Mwasi Kitoko.
 
Wanakwambia lile goli lililokataliwa la Aziz lingeingiza Yanga zaidi ya Billion moja na ushee.
So biashara imelipa na faida juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…