James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Mbwa ni neno LA utani livumalo mtaani kwa sasa hakumaansha Bali kama changamsha genge tu. Mm ndiye mdogo wake na mwasibuHaina haja ya kuitana mbwa kaka, Mwasibu mtu poa sana hapa tunachangamsha jukwaa tu.
Achana na maneno ya wapuuzi ππππ ila semajo la kafo linachekesho
Hiyo inaitwa kuwahi kuchamba shughuli ikiendelea.One of the most blunder in JF history
Mamamake! Alinyoosha maelezo!Kumbe alikili jamaniπ
Mwasibu kahamia MMU huko. πHuu Uzi Mimi nitakuwa nakuja tu kupost chochote nikiwa na bando na afya yangu mpaka Mwasibu atoke mafichoni na aje kuomba radhi.
Ungemrukia huko huko wamjue mwasibu feki.Mwasibu kahamia MMU huko. π
Nilimuona kaandika nikajikuta naangua kicheko tu. Lol.
π πUngemrukia huko huko wamjue mwasibu feki.
Mtamu kinomaππππ dah
Huu uzi
Poleni sana,tunawaelewa maumivu mnayopitia.Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Loss ina kiatu cha dhahabu Mwasi Kitoko.Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Wanakwambia lile goli lililokataliwa la Aziz lingeingiza Yanga zaidi ya Billion moja na ushee.Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
HhhhJumapili tutakuwa na usafi makaburini, mwasibu tunaomba ushiriki wako maana tutahitaji manunuzi ya jembe, reki, fyekeo, bereshi na mifagio ya chelewa.