Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Oya bado unapiga hesabu Kolo?
 
Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
Kwa hiyo Yanga wamepigwa? Na wamepigwaje tupange Mkia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…