Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ngoja mechi iishe Makombora nimeshayasogeza karibu na huu Uzi..
Kakimbia jukwaa la michezo.Any news about mwasibu
Si mchezoKakimbia jukwaa la michezo.
Oya bado unapiga hesabu Kolo?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Kwa hiyo Yanga wamepigwa? Na wamepigwaje tupange Mkia.Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
Basi maoni yaendelee na sasa ,au yana wakati maaumu ?Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
😂😁😁😁😁😁😂😂😂😂Cc ephen_Na Avatar yake imegonga suti Kali kabisa kupendana na jina lake.
Ni tapeli Kabisa 😂😁Hamna mwasibu hapa
Naunga mkono hoja Cc ephen_Watu wakorofi sana mwenye Uzi hautaki uzi wake tena niliposoma huu uzi kwa mara kwanza nilishangaa sana sijui mzala aliwaza nini aisee..uzuri mpira sio siasa unaonekana kiwanjani hesabu zake lazima zigome.
Hasibu la kausha damuBasi maoni yaendelee na sasa ,au yana wakati maaumu ?
Hahahahaha huwa nahofu na huyo muajiri wakeHamna mwasibu hapa