Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Halafu lawama zinaenda kwa MubetoHana habari😀😀😆😃
Jinsi siku hizi anavyobwatukiana na watu, ichunguzwe inawezekana nungunungu keshampeleka kwenye chimbo la cha Arachuga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu lawama zinaenda kwa MubetoHana habari😀😀😆😃
Jinsi siku hizi anavyobwatukiana na watu, ichunguzwe inawezekana nungunungu keshampeleka kwenye chimbo la cha Arachuga.
Value yake ni pamoja na kuumwagilia moyoKama jamaa anasahau value yake sasa mambo Kama hizi angewaachia watu wengine.
Simba oye!!Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Value yake ni pamoja na kuumwagilia moyo
Wao wanajua hata wakipiga shisha wakifika uwanjani wanajipiga misindano wanakuwa fresh na soka linatembeaYes , Mimi naongea Kama mchezaji nimecheza mpira kwa level kubwa
Ukiwa Una age 28+ ukawa MTU wa starehe hasa Pombe ,wanawake na Shisha kiwango kinashuka haraka
Kumwagilia moyo ni muhimu Sana Ila Kwa kias .
Usajili wa Aziz Ki umelipa ndugu Mwasibu.Pigeni kwenye kifua, naona bado wanapumua
Apunguze shisha Sasa... Mtamlaumu bure Mobetto.Usajili wa Aziz Ki umelipa ndugu Mwasibu.
Mwasibu naomba unisamehe nilikurupuka .Pigeni kwenye kifua, naona bado wanapumua
Ndiyo maana watu wanashangaa kwa nini Aziz Ki anapigwa sub Kila mara na Gamondi.Duhh! Dar es salaam mbaya sana, kijana alikuja na nidhamu ya kazi Sasa hivi amekuwa Teja wa shisha nguvu miguuni kwishney na kifua lazima pumzi ipungue
Daah! Hatimaye Mwasibu unapumua. LolPigeni kwenye kifua, naona bado wanapumua
Ndugu yangu mbona kama mpira unarudi kwa kipa. 🤣🤣🤣Mwasibu naomba unisamehe nilikurupuka .
Huyu Mr.Funguo atabakia bongo kama Mayaula Mayoni😃😆😆😄Mwasibu naomba unisamehe nilikurupuka .