Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Simba oye!!
 
Value yake ni pamoja na kuumwagilia moyo

Yes , Mimi naongea Kama mchezaji nimecheza mpira kwa level kubwa

Ukiwa Una age 28+ ukawa MTU wa starehe hasa Pombe ,wanawake na Shisha kiwango kinashuka haraka

Kumwagilia moyo ni muhimu Sana Ila Kwa kias .
 
Yes , Mimi naongea Kama mchezaji nimecheza mpira kwa level kubwa

Ukiwa Una age 28+ ukawa MTU wa starehe hasa Pombe ,wanawake na Shisha kiwango kinashuka haraka

Kumwagilia moyo ni muhimu Sana Ila Kwa kias .
Wao wanajua hata wakipiga shisha wakifika uwanjani wanajipiga misindano wanakuwa fresh na soka linatembea
 
Duhh! Dar es salaam mbaya sana, kijana alikuja na nidhamu ya kazi Sasa hivi amekuwa Teja wa shisha nguvu miguuni kwishney na kifua lazima pumzi ipungue
 
Duhh! Dar es salaam mbaya sana, kijana alikuja na nidhamu ya kazi Sasa hivi amekuwa Teja wa shisha nguvu miguuni kwishney na kifua lazima pumzi ipungue
Ndiyo maana watu wanashangaa kwa nini Aziz Ki anapigwa sub Kila mara na Gamondi.
 
Mhasibu wakumbushe ile conclusion kwenye report ya chama...
 
Back
Top Bottom