Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahàaaaBado haujasema, mpaka useme na utasema tu. . . Nyambaff
Hukuambiwa toa ww subilia burdani tuUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Ufungwe tu kumnusuru mleta mada.Huu uzi mods waweke kitufe cha live maana uko hai daily...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TETESI : Mhasibu wa Jumuiya ya Kukuza Uchumi Ilala (JUKUILA) anayetafutwa na wakina mama kusepa na pesa zao za vikoba baada ya kumuamini inasemekana ndio mleta mada .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muhasibu wa kikundi cha wale jamaa wanaocheza na nyoka kwenye ngoma za jadi
@OKW BOBAN SUNZU huyu Mwamba siku izi yuko wapi?Muasibu wewe ndo hasara
Na yametimia.Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Usikute alisomeshwa kwa pesa za serikali akachukue Mkopo Helsb na kula boom..Muasibu wewe ndo hasara
Wewe CPA mhasibu wa mapunga njoo urudie mahesabu yako.Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
AahaaaaaHuu uzi mods waweke kitufe cha live maana uko hai daily...
Huu uzi mods waweke kitufe cha live maana uko hai daily...
Hakuna kufunga,aaahaaUfungwe tu kumnusuru mleta mada.