kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Na Kule Uzi wa TAKWIMU za KIBU Vs Mayele [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16]mkos tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Kule Uzi wa TAKWIMU za KIBU Vs Mayele [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna, acha akandwe tu ili akome, ni huyu wa Takwimu za Kibu na MayeleMaxence Melo, fungeni huu uzi kumnusuru huyu jamaa.
Mhasibu alisema kuna over expenditure. Kwa hiyo hapo tunadebit.Kihasibu haya magoli ya leo inakuaje, tunadebit au tunayacredit
Mbumbumbu sgrUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Imefikia hatua hadi wale wapambe wa Muhasibu Maiko uzi nao wanauogopa. 😅😅Teh teh teh 😂😂😂 Mr Accountant....
😂😂😂Hasara gani sasa mtu katupa goli 3😂🤭
😂😂😂😂Tumetia timu OKW BOBAN SUNZU tukaribishe wageni, wako wa siku zote 😂😂😂😂😂😂😂😂
Amejificha kwenye tunnel kama za HamasMhasibu wa mbumbumbu kaumbuka
😅😅😅Na Kule Uzi wa TAKWIMU za KIBU Vs Mayele [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂 Ila nimecheka sana ndugu yangu.Muhasibu alidhani kamaliza wakati anafanya uhasibu huku akisema " Ngoja nikalale kesho nikatandike hesabu zangu JF"View attachment 2790522
Hapa alitumia elimu yake yote mpaka ya twisheni
Cc : Shadeeya
hiyo hasara yako ya kihasibu bado ipo?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Nae ana tatizo kubwa kichwani kama la nduguye.View attachment 2768106
[emoji23][emoji23] dah hi comments hua nacheka sana
Anyway tumekuekea na sahihi ili usiikatae siku moja
Na huwa wanasahau kabisa kuwa goli lake lile la uarabuni dhidi ya waarabu wa Tunis ndiyo lilitupeleka makundi mpaka Fainali.Wengi hua wanasahau hata like Goli lake dhidi ya Simba msimu uliopita round ya Kwanza ndo lilitupa njia ya ubingwa inamaa tungefungwa Ile game tusingekua Mabingwa
[emoji16] OKW BOBAN SUNZU
Serious kwa hesabu za kihasibu za kubumbabumba!! 😂Uachwe tu hapa hapa huu uzi uko serious sana
Alitaka kumchukulia poa Aziz Ki. 😂😂Muhasibu ameyatimba kwa mwamba wa Ouagadougou [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]