Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liability kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani ya mchezaji, Manunuzi ya mchezaji yamekuwa na tija kubwa kwa Wananchi kwa kuimarisha safu ya ushambuliaji , kuimarisha Perfomance,Cashflows na Position ya Club.

Hii Faida inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo baada ya kufanya masahisho(correction of error)ya kosa la kijinga la Mhasibu kilaza iliyetambua hasara ya 400m wakati wa usajili wa Key.

1.(Reversal)Masahisho ya kosa la kijinga la Mhasibu Kilaza:

Dr. Provision of Loss 400m

Cr. Registration 400m

2.Kutambua Ongezeko la thamani ya Mchezaji sokoni (Recognition of Gain in Player’s Fair value)

Dr.Player’s Retention Rights 400 m

Cr.Gain in Player’s Fair value 400 m


Mwisho wa Mwaka hiyo Faida(Gain) inaonekana kwenye Other Comprehensive Income(OCI).


Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Wako Mtiifu,

Article.
 
Kumbukumbu : mara ya mwisho Mhasibu kujitokeza
IMG_0119.jpg
 
Cookie alimsaidie uzi wa Takwimu Kibu D Vs Mayele heading ikaeditiwa neno "zingatia uchungu " likafutwa na baadhi ya post mpaka wazee wa updates tukaleta mgomo kutembeza hashtags za kutaka haki itendeke, hapo wakurudisha uzi kama ulivyokuwa.

Wafuta kwenye heading neno "Kihasibu" watakuwa wamemsaidia sana maana comments zote zinabase hapo.
Wakiuedit tunaandamana makao makuu ya Jamiiforums HQ

Aaahaaaa
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liablity kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani ya mchezaji, Manunuzi ya mchezaji yamekuwa na tija kubwa kwa Wananchi kwa kuimarisha safu ya ushambuliaji , kuimarisha Perfomance,Cashflows na Position ya Club.

Hii Faida inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo baada ya kufanya masahisho(correction of error)ya kosa la kijinga la Mhasibu kilaza iliyetambua hasara ya 400m wakati wa usajili wa Key.

1.(Reversal)Masahisho ya kosa la kijinga la Mhasibu Kilaza:

Dr. Provision of Loss 400m

Cr. Registration 400m

2.Kutambua Ongezeko la thamani ya Mchezaji sokoni (Recognition of Gain in Player’s Fair value)

Dr.Player’s Retention Rights 400 m

Cr.Gain in Player’s Fair value 400 m


Mwisho wa Mwaka hiyo Faida(Gain) inaonekana kwenye Other Comprehensive Income(OCI).


Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Wako Mtiifu,

Article.
We ndo muhasibu sasa siyo yule OKW BOBAN SUNZU wa mchongo

Aahaaaa

Pole mtani wangu
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liablity kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani ya mchezaji, Manunuzi ya mchezaji yamekuwa na tija kubwa kwa Wananchi kwa kuimarisha safu ya ushambuliaji , kuimarisha Perfomance,Cashflows na Position ya Club.

Hii Faida inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo baada ya kufanya masahisho(correction of error)ya kosa la kijinga la Mhasibu kilaza iliyetambua hasara ya 400m wakati wa usajili wa Key.

1.(Reversal)Masahisho ya kosa la kijinga la Mhasibu Kilaza:

Dr. Provision of Loss 400m

Cr. Registration 400m

2.Kutambua Ongezeko la thamani ya Mchezaji sokoni (Recognition of Gain in Player’s Fair value)

Dr.Player’s Retention Rights 400 m

Cr.Gain in Player’s Fair value 400 m


Mwisho wa Mwaka hiyo Faida(Gain) inaonekana kwenye Other Comprehensive Income(OCI).


Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Wako Mtiifu,

Article.
[emoji23][emoji23]
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Unajisikiaje huko uliko?
 
Back
Top Bottom