Kwa ufupi ieleweke tu kwamba linaendeshwa la remote! Uelewa mdogo sana!!Mama Samia angetawala vizuri na kwa mafanikio makubwa kama angeshirikiana na wapinzani kuliko hao wanafiki ndani ya CCM. Weka kikao ongea na wapinzani - wape way forward ya katiba mpya ambayo ndiyo takwa lao kubwa kwa sasa - mkikubaliana time frame then muanze kujenga nchi kwa pamoja mkisubiri muda huo ili kuifufua katiba mpya ya Jaji Warioba.
CCM hii itamwingiza mama chaka asipokuwa kwa
Mimi Nafikiri tuwe tunatofautisha kupinga na kutoa maoni.wewe umesema jambo hili ni Hiari.siyo lazima. Maana yake hakuna agizo hapo ambalo limepingwa.Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up
Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.
Una maoni gani kwa wana CCM hao?
---
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi - UVCCM, Kenani Kihongosi amesema, wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na mbunge Humphrey Polepole kuhusu suala la ya Covid-19, kwani Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshasema kwamba chanjo ni hiyari na maamuzi yake lazima yaheshimiwe.
"Tunapenda kumwambia mbunge Humphrey Polepole kwamba awe na nidhamu na adabu kama aliyokuwa nayo wakati wa Utawala wa Awamu ya Tano. Nidhamu ile ile aiendeleze pia katika utawala huu wa awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan "
"Mijadala yake (Humphrey Polepole) kuhusu chanjo ni bora akakaa kimya kama hahitaji kuchanja lakini sio kujificha katika kivuli cha chanjo kuipinga serikali."
"Tunamuonya na tunamtaka Humphrey Polepole aache mara moja mijadala yake kuhusu chanjo kwani hatutakubali kiongozi yoyote avunje heshima ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan au kupinga yale aliyoyaelekeza"
"Hatutovumilia utovu wowote wa nidhamu kwa Rais. Humphrey Polepole kuendelea kutengeneza maneno ya kejeli, dhihaka na mengine ya aina hiyo yanabeba mazingira yanayotia shaka dhamira yake aliyonayo kwa Mwenyekiti wetu na Rais wetu, hivyo tunamtaka aache mara moja"
"Chama cha Mapinduzi (CCM) siyo chama cha harakati bali ni chama kilichojijenga katika misingi ya kutii na kuheshimu viongozi, hivyo jambo lolote la kupingana au kuendeleza mijadala ambayo Mwenyekiti wa CCM Taifa ameshalitolea maelekezo ni utovu wa nidhamu"
Ndugu. Kenani Kihongosi
Katibu Mkuu wa UVCCM.
Huyu Huyu aliyesema anaweza kutufua watu lakini akashindwa Kumfufua Magufuli? Huyu aliyetudanganya kuwa hataki Ubunge?Huyohuyo...ni mpaka upate ufunuo wa kumwelewa
Mambo ya imani magumu boss.Huyu Huyu aliyesema anaweza kutufua watu lakini akashindwa Kumfufua Magufuli? Huyu aliyetudanganya kuwa hataki Ubunge?
Mwambieni huyo mtu asimtishie HP na iwapo akidhurika baada ya matamshi yake kuanzia sasa ni lazima atawajibika kwa mjibu wa sheriaKatibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up
Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.
Una maoni gani kwa wana CCM hao?
---
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi - UVCCM, Kenani Kihongosi amesema, wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na mbunge Humphrey Polepole kuhusu suala la ya Covid-19, kwani Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshasema kwamba chanjo ni hiyari na maamuzi yake lazima yaheshimiwe.
"Tunapenda kumwambia mbunge Humphrey Polepole kwamba awe na nidhamu na adabu kama aliyokuwa nayo wakati wa Utawala wa Awamu ya Tano. Nidhamu ile ile aiendeleze pia katika utawala huu wa awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan "
"Mijadala yake (Humphrey Polepole) kuhusu chanjo ni bora akakaa kimya kama hahitaji kuchanja lakini sio kujificha katika kivuli cha chanjo kuipinga serikali."
"Tunamuonya na tunamtaka Humphrey Polepole aache mara moja mijadala yake kuhusu chanjo kwani hatutakubali kiongozi yoyote avunje heshima ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan au kupinga yale aliyoyaelekeza"
"Hatutovumilia utovu wowote wa nidhamu kwa Rais. Humphrey Polepole kuendelea kutengeneza maneno ya kejeli, dhihaka na mengine ya aina hiyo yanabeba mazingira yanayotia shaka dhamira yake aliyonayo kwa Mwenyekiti wetu na Rais wetu, hivyo tunamtaka aache mara moja"
"Chama cha Mapinduzi (CCM) siyo chama cha harakati bali ni chama kilichojijenga katika misingi ya kutii na kuheshimu viongozi, hivyo jambo lolote la kupingana au kuendeleza mijadala ambayo Mwenyekiti wa CCM Taifa ameshalitolea maelekezo ni utovu wa nidhamu"
Ndugu. Kenani Kihongosi
Katibu Mkuu wa UVCCM.
Hili ndio la msingi, maana hata kina PolePole na timu yake walisahau kuwa sponsor hufariki pia.Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Yote ni matapeli tupuWacha wafu wazike wafu wao
Mpaka waishe woteNa bado, acha waendelee kuumana wao kwa wao!
wakuu hivi pole pole huwa ni kijana au ni mzee? dah!!! ile sura haieleweki.Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up
Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.
Una maoni gani kwa wana CCM hao?
---
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi - UVCCM, Kenani Kihongosi amesema, wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na mbunge Humphrey Polepole kuhusu suala la ya Covid-19, kwani Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshasema kwamba chanjo ni hiyari na maamuzi yake lazima yaheshimiwe.
"Tunapenda kumwambia mbunge Humphrey Polepole kwamba awe na nidhamu na adabu kama aliyokuwa nayo wakati wa Utawala wa Awamu ya Tano. Nidhamu ile ile aiendeleze pia katika utawala huu wa awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan "
"Mijadala yake (Humphrey Polepole) kuhusu chanjo ni bora akakaa kimya kama hahitaji kuchanja lakini sio kujificha katika kivuli cha chanjo kuipinga serikali."
"Tunamuonya na tunamtaka Humphrey Polepole aache mara moja mijadala yake kuhusu chanjo kwani hatutakubali kiongozi yoyote avunje heshima ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan au kupinga yale aliyoyaelekeza"
"Hatutovumilia utovu wowote wa nidhamu kwa Rais. Humphrey Polepole kuendelea kutengeneza maneno ya kejeli, dhihaka na mengine ya aina hiyo yanabeba mazingira yanayotia shaka dhamira yake aliyonayo kwa Mwenyekiti wetu na Rais wetu, hivyo tunamtaka aache mara moja"
"Chama cha Mapinduzi (CCM) siyo chama cha harakati bali ni chama kilichojijenga katika misingi ya kutii na kuheshimu viongozi, hivyo jambo lolote la kupingana au kuendeleza mijadala ambayo Mwenyekiti wa CCM Taifa ameshalitolea maelekezo ni utovu wa nidhamu"
Ndugu. Kenani Kihongosi
Katibu Mkuu wa UVCCM.
Atawajibika kwa Nani?Mwambieni huyo mtu asimtishie HP na iwapo akidhurika baada ya matamshi yake kuanzia sasa ni lazima atawajibika kwa mjibu wa sheria
Kimsingi kundi hilo linapinga kwa maslahi binafsi kwakuwa limewekwa nje ya maamuzi ndani ya Serikali na Chama.Huku Gwajima kule Polepole Sukuma Gang wameanza kazi, nyuma ya hao akina Polepole kuna kundi kubwa sana linalompinga Mzenji, yetu macho kwasasa!!
Watajuana wenyeweYote ni matapeli tupu
Wazembe hawa. Wajifunze kuishi kama watu wa dini tofauti. Hata kama kuna mapungufu na makosa ya kiuelewa, they all are acting in good faith. Wote dhamira yao ni moja: Kumuokoa Mtanzania asiangamie.
Mmoja anaamini kukubali wito wa chanjo ni kukubali wito wa kumuokoa Mtanzania na mwingine naye anaamini kukataa wito wa chanjo ni kukataa wito wa kumuangamiza Mtanzania!
Chawa siyo? hawa chawa wote bado hawajakubali kwamba hii ninawamu ya 6.ni nyingine kabisaChawa wa Jiwe anapinga chanjo🤣🤣🤣