Fisi wanaparuana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fisi wanaparuana.
Halafu wanafanana kwa sura na mwonekanoWanamgambo wanaruka na kukanyagana.
Mkuu..na sura zao ni kama fisi haswaa.Fisi wanaparuana.
Amekosea nini Mkuu?ka polepole katakuja kufukuzwa chama kakoswe pa kujishikiza hizi takataka sijui JPM aliziokotea wapi
Ninaunga mkono ushauri wa katibu Mkuu UVCCM ,japokuwa Mheshimiwa Mbunge ana Uhuru wa kusema,ni vema akachagua maneno ya kusema na majukwaa ya kusemea.Aidha ni vema atambue kuwa Rais SSH ni Rais Kama alivyokuwa Rais JPM,mbona wakati wanutawala wa serikali ya awamu ya tano,hakujitokeza hadharani kupinga maamuzi yoyote,au ni nongwa kwa kuondolewa kwenye ukatibu uenezi wa CCM.Kihongosi
Mtamponza GwajimaAmjibu na Gwajima kama hajalipuliwa
Mdanganye akasemeshe la Gwajima! Kalishatoa angalizo kwamba atayenisemesha nitamparura sawasawa! Nitamsemesha kwa sauti kubwa! Watakuwa wanakagwaya!Vipi hajamuonya gwajiboy Mzee wa verse moja?
Ataparura?Mdanganye akasemeshe la Gwajima! Kalishatoa angalizo kwamba atayenisemesha nitamparura sawasawa! Nitamsemesha kwa sauti kubwa! Watakuwa wanakagwaya!
Gwajima hana njaa!Mtamponza Gwajima
Mwambie akasemeshe utajua kalikuwa kanamaanisha nini!Ataparura?
kamekua kapaka?
Acha yauane haya majangiliFisi wanaparuana.
Wote wale ni wajinga tupuPolepole hajampinga mtu wala hajamkosea adabu mtu yeyote!
Afadhali yeye anasimamia misimamo yake aliyokuwa nayo toka enzi za Magufuli na ni haki yake kusema anachoamini ndio democrasia hiyo...
Bora wauane wapuuzi wakubwa waleUle ule ujinga wa wapumbavu wachache kucontrol mawazo ya watu unaendelea!