Amin mkuu.Jk alisema hatuaminiani cc wenyeweHa ha ha! Kwamba ukienda msalani,unaenda na glass yako! Trust no one!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amin mkuu.Jk alisema hatuaminiani cc wenyeweHa ha ha! Kwamba ukienda msalani,unaenda na glass yako! Trust no one!
Chawa Amanda jotoChawa wa Jiwe anapinga chanjo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waslaiti wote njia yao ni moja. Kukosa support na kuishia kuisoma namba tu.Huyo Polepole ni wa kuwamvua hata huo ubunge wa dezo akajipange upya. Uzuri kashalikoroga, hana support ndani ya ccm, wala kwa wapinzani waliompaisha kipindi cha katiba mpya.
Naona leo wamemuamulia wengi aliowanyanyasa enzi zake za mavieiteeView attachment 1885624
Kabisa mkuu!Huyu Kihongosi mbona anatumia nguvu sana kupambana na wenzake!! Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Anatakiwa awajibu kina zito na kina heche.
Kihongosi aache ujinga bana,si kila mtu sababu yupo CCM basi aseme yale yanayomfurahisha kiongozi wao, kama mwenyekiti wake anasema kuchanja ni hiari na Polepole anasema hachanjwi tatizo lipo wapi? katibu wa jumuia ya vijana wa CCM ndio kawa msemaji wa CCM? nchi hii kila mtu yupo huru kusema lolote maadamu havunji sheria, sasa kwa kifungu kipi cha sheria au katiba kinasema ukisema tofauti na raisi ni kosa, huyu dogo aache kutoa matamko na kiherehere chake cha kujikomba hakitamsaidia kitu.Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up
Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.
Una maoni gani kwa wana ccm hao?
View attachment 1885601
Battery zinagonganaYani Sasa hivi Ni wao kwa wao,
Mara kihongosi vs Gwaji(mauno)
Kihongosi vs Polepole
Mwakibinga vs Hpolepole
#Tuliambiwa sitaki gunzi, wananchi wanataka maendeleo ya chap chap
Ndio Ni makosa makubwa sana na hili walianzisha jiwe,polepole na wenzake so acha wachume walichokipanda.Hivi sasa hivi kupingana na mawazo au na mitazamo ya walio wengi ni makosa? Duuh.
Kuna ombwe la uongozi ndani ya ccm siku hiziHivi huyo Kihongosi ndio msemaji wa chama cha kijani siku hizi?
Naikumbuka statement ya Mzee JakayaAmin mkuu.Jk alisema hatuaminiani cc wenyewe
Hata uchanjwe vipi siku ikifika hiyo chanjo inakuwa maigizo tu, muhimu tunza afya yako kwa kula chakula chenye virutubisho,kula matudna fanya mazoezi n.kGuys kila mtu anahuru juu ya hili kwanini umulazimishe akubaliane tu kuchnanywa..overall polepole hajafika miaka 50 ndo maana nashangaa hata kilongozi kwanini amechanjwa wakati hajafika 50 unless kama anamagonjwa
Aistumike kama Mpira wa kiume huu huu wanaoubutuaga akina Juma Nyosso na Messi auBwana mdogo kihongosi angalia usitumike km mpira
Sijui mkuu we unadhani ni lipi ?Kosa la pole pole ni nini?
Kuna mawili!Kuna vitu havitokei bahati mbaya
Linalojamba ni tumbo, makalio ni spika tu
View attachment 1885611
Ngoja tuone mwisho wa haya yote....
Utamuota sana Hayati Magufuli wewe nyumbu badala ya kwenda kumwona Gaidi Mbowe huko Segerea! Unajisahahurisha mkuu!!?Ccm walikaa kimya Magufuli alipoingiza tabia ya kuzuia free speech. Leo wanafungana midomo kwa style Ile ile ya Magufuli. Huyo Polepole alikuwa ni mmoja wa waliosupport mwenendo mbovu wa Magufuli kuua uhuru wa maoni, acha avune matunda ya siasa chafu alizoshiriki kuzipandikiza.
Hahaha umemuona kumbe na Waziri nae kampiga biti Pole poleHuyu rockMwakibinga
Ni timu moja na yule aliyekuwa katibu wa VP
Mzee wa rambirambi hao wote ni walewale
Mama ongea na Mwanao....
Chini ya mtajwa hapo juu
Utamuota sana Hayati Magufuli wewe nyumbu badala ya kwenda kumwona Gaidi Mbowe huko Segerea! Unajisahahirisha mkuu!!?