UnajisahahurishaUnapanick mpaka unashindwa kuandika vizuri, unajisahahirisha ndio nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnajisahahurishaUnapanick mpaka unashindwa kuandika vizuri, unajisahahirisha ndio nini?
Nw i get you- At least ume-confirm kwamba mashtaka ya Mbowe ni bogus na ni mkono wa serikali. 🤣 🤣 🤣Kuna mawili!
Either hapa bavicha wanapotezwa maboya juu ya ishu ya Mbowe au
Guys kila mtu anahuru juu ya hili kwanini umulazimishe akubaliane tu kuchnanywa..overall polepole hajafika miaka 50 ndo maana nashangaa hata kilongozi kwanini amechanjwa wakati hajafika 50 unless kama anamagonjwa
Hivi sasa hivi kupingana na mawazo au na mitazamo ya walio wengi ni makosa? Duuh.
Angejua Polepole was among the top king Maker kipindi cha mwendazake angejinyamazia tu.
Hajui kwamba siasa hubadilika ghafla.....Huyu Kihongosi mbona anatumia nguvu sana kupambana na wenzake!! Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Anatakiwa awajibu kina zito na kina heche.
Unajisahahurisha
Hajui kwamba siasa hubadilika ghafla.....
Angejua Polepole was among the top king Maker kipindi cha mwendazake angejinyamazia tu.
Mpumbavu na mpumbavu Sana Kihongozi ,,Kama wanataka basi waseme kuwa Chanjo ni lazma Wasiwe wanafiki wakusema kuwa Chanjo ni hiari huku kila anaeenda tofauti na kuchanjwa anaonekana kuwa msaliti, ,Hivyo watoe Tangazo kuwa kila mtanzania kwa lazma atachanjwa CHANJO,Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up
Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.
Una maoni gani kwa wana ccm hao?
View attachment 1885601
Tanzania ya miaka hii siielewi, ila kuna Tanzania zangu Mbili hivi ( nazihifadhi ) Watu 'Wanafkki' kama huyu 'Taratibu' na Yule 'Mchokozi' wa sasa 'Mtu Huru' wangeshakuwa Historia ya 'Kiuhai' Kitambo mno na tumeshawasahau.Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge wa kuteuliwa wa CCM na aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Humphrey...
Mwosha yanamnyemelea. Pole pole peleka moto.Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge wa kuteuliwa wa CCM na aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Humphrey Polepole kuwa na nidhamu na adabu kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya 6 iliyo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kama aliyokuwa nayo...
Huyo hajitambuiKatibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge wa kuteuliwa wa CCM na aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Humphrey