Swali zuri sana hili. Isijekuwa kakimbia nchi!!?Naona wanalipa kisasi jinsi Polepole alivyowafanyia ubaya enzi za mwendazake. Bashiru yupo wapi jamani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana hili. Isijekuwa kakimbia nchi!!?Naona wanalipa kisasi jinsi Polepole alivyowafanyia ubaya enzi za mwendazake. Bashiru yupo wapi jamani ?
Polepole pia alikuwa anawaambia akina Membe wakae kimya kutokana na kiburi alichopewa na magu. Kwa sasa Polepole anakutana na kile alichokuwa anakifanya kwa wengine, what goes around comes around.Bwana mdogo kihongosi angalia usitumike km mpira
Polepole ana miaka zaidi ya babu yako!! Ni vile tu alikosa vitamin flani ndiyo maana mnamuona haelewekieleweki,heshima ichukue mkondo wake please
Kuna yule boya Khery James alikuwa na shombo sana ila badae akaomba msamahaHuyu Kihongosi mbona anatumia nguvu sana kupambana na wenzake!! Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Anatakiwa awajibu kina zito na kina heche.
Jibu zuri la kifalsafa hiliMkuu nguvu ya mamba iko ndani ya maji, hiyo Polepole kwa sasa ni kama mamba aliye nje ya maji.
Naona leo wamemuamulia wengi aliowanyanyasa enzi zake za mavieiteeNaona wanalipa kisasi jinsi Polepole alivyowafanyia ubaya enzi za mwendazake. Bashiru yupo wapi jamani ?
Mbinu za kimafya kwenye kampeni mlikuwa wote?uhuni upi anaoujua polepole😀😀😀, kabaki kuwa mbunge wa viti maalum eti anajua uhunu wa chama😀😀😀😀
hebu kua serious bas😀😀😀😀M
Mbinu za kimafya kwenye kampeni mlikuwa wote?
Kuwanunua wabunge covid 19 Pole2 unafikiri hajui.
Mmuguse anuke
Hutakiwi kupinga kama ambavyo hulazimishwi.Kwani si wamesema hiari [emoji2][emoji2] kwahiyo mtu akipinga inakuaje kesi?
Kosa la pole pole ni nini?Naona leo wamemuamulia wengi aliowanyanyasa enzi zake za mavieiteeView attachment 1885624
Usione anaongea hivyo public! Nyuma kuna watu wanamtuma! Hivi unadhani bila yakusimama kidete CDF Mabeyo,unadhani Samia angekua Rais?? Unadhani kina Makubi kutolewa na Bashiru kutolewa kwenye u Chief Secretary,unadhani ni accidentally??uhuni upi anaoujua polepole[emoji3][emoji3][emoji3], kabaki kuwa mbunge wa viti maalum eti anajua uhunu wa chama[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asante Sana mkuu kwa kutufukulia makaburi. Maana Kuna watu washasahau maujinga ya Polepole na Sasa wanamuonea huruma.Polepole pia alikuwa anawaambia akina Membe wakae kimya kutokana na kiburi alichopewa na magu. Kwa sasa Polepole anakutana na kile alichokuwa anakifanya kwa wengine, what goes around comes around.
Wanamsemo wao kwamba, zidumu fikra za mwenyekiti.....😂Hivi sasa hivi kupingana na mawazo au na mitazamo ya walio wengi ni makosa? Duuh.
Huyo Polepole ni wa kuwamvua hata huo ubunge wa dezo akajipange upya. Uzuri kashalikoroga, hana support ndani ya ccm, wala kwa wapinzani waliompaisha kipindi cha katiba mpya.Asante Sana mkuu kwa kutufukulia makaburi. Maana Kuna watu washasahau maujinga ya Polepole na Sasa wanamuonea huruma.
Hili neno " kimiya" maana yake nini?