Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
- #21
Anachat na mdadaAnaomba namba kwani hapo ana chat na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachat na mdadaAnaomba namba kwani hapo ana chat na nani?
Kiswanglish🤣🤣🤣Alinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂View attachment 3242711
niandikie na mimi basiAlinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂View attachment 3242711
Sasa anaomba namba na hiyo aliyonayo anayotumia kukuuliza ni ya nani, au umeamua kutupa chai isiyo na vitafunwa..Anachat na mdada
Give me your digitsniandikie na mimi basi
twende pale mwembeni(PM)Give me your digits
Tupo messenger na sio normal sms so hatutumii namba...Sasa anaomba namba na hiyo aliyonayo anayotumia kukuuliza ni ya nani, au umeamua kutupa chai isiyo na vitafunwa..
Hakuna uhusiano wa kusoma shule za kayumba na kujua lugha ya kingereza sawa?Madhara ya KAYUMBA SCHOOLS.bila kubadili lugha ya kufundishia watanzania wataendelea na kiingereza kibovu.Ndiyo maana hata kwenye mikataba ya Nchi Huwa tunaliwa na mabeberu Kwa sababu wawakilishi wetu wanajua kiswahili,Hivyo,kwenye mazungimzo ya kiuwekezaji na mabeberu Huwa wanabaki kusema tu yes yes yes hata kwenye hasara Kwa taifa
Andika hapa hapatwende pale mwembeni(PM)
Hapo nimekuelewa..Tupo messenger na sio normal sms so hatutumii namba...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora uolewe na BICHWA KOMWE anajua KIZUNGU.
Atakutandika HOGO huku anatema mayai.... ohh yeeah, yes nigga, biich give it to mee.....
Utabomolewa mpaka uombe pooh.... hadi YAS.
Cc: Extrovert Mbaga Jr Lamomy Poor Brain Kijana masikini Dogoli kinyamkela
Tulia mkuu, wanaume wa bongo ni wavivu sana kujifunzaMbona umehukumu jamii yote ya wanaume kwa "kuchat" na huyo mwanaume mmoja tu!
mbona huyo mwamba hajaandika hapahapaAndika hapa hapa