Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiingereza cha bongo hukijui?Wewe mwenyewe unaandika" Don"t you know how to speak Engilsh""?
Halafu unamcheka mwenzio.Kumbe ni familia
Nilisoma Kayumba Ila nikiongea na raia wa nchi zenye baridi anayeongea lugha ya kiingereza mwisho lazima ataniuliza “umewahi kuishi nchi gani nje na Afrika? “Au lazima atauliza “Wewe ni mtanzania kweli?!”Hakuna uhusiano wa kusoma shule za kayumba na kujua lugha ya kingereza sawa?
Vizuri sanaNilisoma Kayumba Ila nikiongea na raia wa nchi zenye baridi anayeongea lugha ya kiingereza mwisho lazima ataniuliza “umewahi kuishi nchi gani nje na Afrika? “Au lazima atauliza “Wewe ni mtanzania kweli?!”
Matoto yetu hayataki kujifunza na kusoma tu.
Dunia yetu Ina vitu vingi tu Ila Kila mtu huamua kuchagua yeye anapenda na anataka nini
Ya tangawizi au mchaichai?Hii ni chai,
Umesema kweli mkuuMatoto yetu hayataki kujifunza na kusoma tu.
Ndiyo sitaki kusaidika yaani mtu anakupa tu msaada na hujamuomba kuwa we kuweza? Kwanza ticha wa kingereza ninae Madam realMamy sina haja na kingeleza chakoHutaki kusaidika wewe
Hii sura ndo iwe inajua kiingereza kweli mambo mengine mnajitakia wenyeweAlinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂View attachment 3242711
Endelea kubishana na uhalisia sina muda mimi wa kupoteza
OkNdiyo sitaki kusaidika yaani mtu anakupa tu msaada na hujamuomba kuwa we kuweza? Kwanza ticha wa kingereza ninae Madam realMamy sina haja na kingeleza chako
Ya tangawizi au mchaichai?Hii ni chai,
😂😂Huyo atakua kutokea kanda ya ziwa tu.Alinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂View attachment 3242711
Kiaz kibichi kwan huyu anaemcheka mwenzake ni mzungu?Usipoteze muda wako na hamna mwenye muda wa kupoteza but aibu ni ujinga na utoto, anayetafuta (including kujua lugha) hana aibu, kama humcheki mchina wala mzungu kuvunja kiswahele basi hata wao hawana time ya kukucheka na unaogopaje kuchekwa wakati unajifunza?
Mwamba amejua kutudhalilishaAlinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂View attachment 3242711
Out of context, anyway Ahsante kwa mchango wakoKiaz kibichi kwan huyu anaemcheka mwenzake ni mzungu?
kopo na mfuniko , hapo wote chengaAlinitext kwa kiswahili nikampeleka kwenye hiyo lugha ya mama, heheheee mwamba kumbe hajui kutema yai 😂😂View attachment 3242711