Kiingereza bado ni lugha ngumu sana kwa wanaume wa kibongo

Madhara ya KAYUMBA SCHOOLS.bila kubadili lugha ya kufundishia watanzania wataendelea na kiingereza kibovu.Ndiyo maana hata kwenye mikataba ya Nchi Huwa tunaliwa na mabeberu Kwa sababu wawakilishi wetu wanajua kiswahili,Hivyo,kwenye mazungimzo ya kiuwekezaji na mabeberu Huwa wanabaki kusema tu yes yes yes hata kwenye hasara Kwa taifa
 
Hakuna uhusiano wa kusoma shule za kayumba na kujua lugha ya kingereza sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…