Kiingereza cha Diamond ni "chefu chefu"

Umeliona RR lake...we hko kinge chako grade A una hata gari???hahahahah...maan.ina zako maskin wew
 
Tatizo alivaa nguo za kimasai huku akijua wazi watu wanajua watu wa jamii hiyo wanaongeaje

Yani ye kupewa fursa kidogo tu aongee na snoop eti anakuja kutoa lafudhi ya beckham
 
The best thing I noticed ni kwamba watanzania wengi wana lafudhi nzuri sana wakiongea kiswahili as well as kingereza.
Huyo jamaa, hizo I garahh I gorohh ndo zinamfanya amiliki rolls Royce na Cadillac Escalade. Sie tuendelee tu na lafudhi yetu mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alafu kwenye maisha ya kitaa unachapa ung'eng'e wa kulala na njaa
 

Unategemea mtu kamaliza darasa la saba na amepata mkwanja kushinda wenye degree za kingereza na nyingine nying tu ataongea kingereza gan zaid[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ya hcho cha gere ala here. Tafuta pesa kingereza kitakuja chenyewe km kile cha k-vant[emoji16][emoji16]
 
The best thing I noticed ni kwamba watanzania wengi wana lafudhi nzuri sana wakiongea kiswahili as well as kingereza.
Huyo jamaa, hizo I garahh I gorohh ndo zinamfanya amiliki rolls Royce na Cadillac Escalade. Sie tuendelee tu na lafudhi yetu mkuu.
Nashukuru.
 
Wewe ongea cha kwako yeye naye aongee cha kwake..magufuli mwenyewe alishasema hapangiwi na mtu weee ni nani umpangie mwenzako namna ya kutamka maneno..hata akiongea kama bata kama hakusemeshi wewe pitiliza hivii
 
Wewe ongea cha kwako yeye naye aongee cha kwake..magufuli mwenyewe alishasema hapangiwi na mtu weee ni nani umpangie mwenzako namna ya kutamka maneno..hata akiongea kama bata kama hakusemeshi wewe pitiliza hivii
Hata kama.
 
Mondi Hana 10B cash..labda zaga zaga na Ile share ya uchafuni media
 
kumbuka kiingereza kwake ni cha mtu ambaye hana elimu, amejifunzia kwa kusikia tu kwa Zari, na kiingereza cha zari chenyewe unakijua, yeye mwenyewe hana elimu, anazo tu sehemu za siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…