Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

English sio mchezo. Proofreading kwel huw n muhim sana
Proof reading huwa ni kwa ajili ya makosa madogo madogo sana ya bahati mbaya. Huyu sio bahati mbaya ni kwamba ndio ukomo wake wa kuandika lugha hiyo na HAJUI zaidi ya hapo.
 
Bwahaaaaaaa... Lugha lugha lugha..woiiii.

Wanasheria wasomi hapa wamezalilika jomoniii.
Poor him.
 
Halafu huyu atakuwa alisoma kile chuo chetu pendwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] wako wapi alumni wenzie? maana wanakiteteaga sana kile chuo
 
Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Ni kheri ungeshauri tutumie kiswahili kwenye hzo nyaraka kuliko kutoka hukumu kwa kiingereza wakati wanaosoma ni la tatu b
 
Ni kheri ungeshauri tutumie kiswahili kwenye hzo nyaraka kuliko kutoka hukumu kwa kiingereza wakati wanaosoma ni la tatu b
Inaelekea na wewe ni tatizo kama hakimu mwenyewe. Mtu unaweza kuandika kiingereza kisichonyooka lakini bado kikaleta sense ikitilia maanani sisi sio lugha yetu. Hapa watu wanashangazwa na ''quality'' ya hukumu. Lugha sio kitu sana. Hakimu atasemaje kuwa rais akiugua hata ugonjwa mdogo tu fedha ya nchi ni lazima ishuke thamani!
 
bbc7c0fb55d4680cded6205198fd0fd6.jpg
1e73331713172da36f708c082430d64d.jpg
0f6b89a63db54d5932fc928f18ea9c75.jpg
241aa9214b644b7c95c8ec5b3ec6eca8.jpg
d206a7f78ab11c8740e1f22aa607992b.jpg
Aisee😃😃😃
 
Aisee😃😃😃
Nawaombeni tumfichie aibu Mheshimiwa HAKIMU, tafadhalini sana!

Anawakilisha nchi na si familia yake, amezaliwa lugha ya kwanza ni kibena, alafu kiswahili na kingereza amekikuta ukubwani tena alipokuwa anasoma elimu ya watu wazma.
 
Back
Top Bottom