Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Proof reading huwa ni kwa ajili ya makosa madogo madogo sana ya bahati mbaya. Huyu sio bahati mbaya ni kwamba ndio ukomo wake wa kuandika lugha hiyo na HAJUI zaidi ya hapo.English sio mchezo. Proofreading kwel huw n muhim sana
hujaona and am quite correct?Hv inaruhusiwa kuandika "I think"???? Inamaanisha huna uhakika ama?
ila Mteite kiboko. eti the country currency must lose it is value.😀 wakuu hivi sustainability of the president ndiyo inakuwaje?
Ndiyo hivyo,nitakuwekea sheria badaeSorry, nataka nijue tu, hivi ni kweli mahakimu ni wajumbe wa kamati za ulinzi na Usalama za mikoa na wilaya? Elimu tahadhari.
Ni kheri ungeshauri tutumie kiswahili kwenye hzo nyaraka kuliko kutoka hukumu kwa kiingereza wakati wanaosoma ni la tatu bSlavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
HahahahaMngesindikiza na picha ya huyo ''ngumbaru'' ndio ingenoga! Haa! haa! haa! Ras Simba kuna kichwa hapa!
Hayana mwenyewe hayo hata mungu wako anaweza kuyavaa wakati ukifikaMimi ninachojua mtu keshavaa magwanda ya rangi ya karoti!
Na wakulima wa Mbeya wameanza kuandaa mashamba.
Hope University? cha iringaHalafu huyu atakuwa alisoma kile chuo chetu pendwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] wako wapi alumni wenzie? maana wanakiteteaga sana kile chuo
Inaelekea na wewe ni tatizo kama hakimu mwenyewe. Mtu unaweza kuandika kiingereza kisichonyooka lakini bado kikaleta sense ikitilia maanani sisi sio lugha yetu. Hapa watu wanashangazwa na ''quality'' ya hukumu. Lugha sio kitu sana. Hakimu atasemaje kuwa rais akiugua hata ugonjwa mdogo tu fedha ya nchi ni lazima ishuke thamani!Ni kheri ungeshauri tutumie kiswahili kwenye hzo nyaraka kuliko kutoka hukumu kwa kiingereza wakati wanaosoma ni la tatu b
kishaenda likizo...picha nenda Telegram.Hivi hakuna mwenyewe picha ya huyu
will be more dangeruousSo sad! That was from the Senior Resident Magistrate. What about Junior Resident Magistrate?
Aisee😃😃😃
Nawaombeni tumfichie aibu Mheshimiwa HAKIMU, tafadhalini sana!Aisee😃😃😃