Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Nataka kumjua huyu Mtetela. Wekeni CV yake hapa. Somedays I will want to kidnap his son or daughterand demand Ransom from him
Sijaona tofauti ya kienglish cha hakimu Mtetela na hiki chako!!!.....labda utuwekee CV yako kwanza!
 
Hukumu gani inaandikwa ndefu kma barua ya mpenzi..??? Maelezo marefu sn na ya kijinga hayana maana. Ina maana hajui lugha za kisheria..???
 
If he contract sickness the country currency must lose its value [emoji23][emoji23][emoji23]
Usimharibie hukumu yake... rekebisha hapo...

Currency yeye kaandika currecy
Its value mtaalamu wa sheria kaandika it is value

Komredi Nyani Ngabu umeisoma hii hukumu au bado uko busy na maandamano ya daMange please hide my ID?
 
kiingereza chetu ni kivutio kwa watalii pia.Huyu jamaa kama alikaa akaandika hivyo je angeshtukizwa kuzungumza uso kwa uso mav yangegonga chupi
 
Tukiacha lugha,vipi kuhusu kosa na hiyo hukumu iliyotolewa? Naona kuna mambo mengi mara mitandao ya kijamii,jinsi Mh Raisi alivyoingia madarakani,currency,contract sickness nk. Mie binafsi sidhani kama ni hakimu kafanya hii kazi mana hata tukiichukua na kuiweka katika kiswahili bado haina mantiki.
 
Kingereza ni lugha tu na sio kua ukijua kingereza ndio utaonekana msomi au unauelewa mkubwa wa mambo...tatizo ni pale watanzania tunajihamba kutumia lugha ambayo mtu unatakiwa kuijua kwa juhudi zako...
 
Kingereza ni lugha tu na sio kua ukijua kingereza ndio utaonekana msomi au unauelewa mkubwa wa mambo...tatizo ni pale watanzania tunajihamba kutumia lugha ambayo mtu unatakiwa kuijua kwa juhudi zako...
Mi nimeona UMEJIHAMBA tu
 
Usitetee ujinga. Ona aibu. Huyu hakimu anahakisi quality ya sasa ya taaluma ya TZ. Very sad. Hata ukiacha lugha mbali hukumu yenyewe ni ya maoni/hisia zake na siyo sheria. Natabiri kuwa Sugu na mwenzie watashinda rufaa.
Najua wewe si m anasheria ila uma reason kama jaji wa mahakama ya rufaa*

Ile ni maoni ya Amos Makaĺ ambayo alimwambia hakimu aandike,

Rc ni mkuu wj kamati ya ulinz na usalama ya mkoa ambapo hakimu ni mjumbe,

Makala utalipwa tu very soon na hilo tumbo halitaweza himili chakula,utajuta
 
Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Kama mtoa hukumu haelewi hata grammar ya lugha, anaweza kuelewa content ya alichokiandika kweli?
 
Najua wewe si m anasheria ila uma reason kama jaji wa mahakama ya rufaa*

Ile ni maoni ya Amos Makaĺ ambayo alimwambia hakimu aandike,

Rc ni mkuu wj kamati ya ulinz na usalama ya mkoa ambapo hakimu ni mjumbe,

Makala utalipwa tu very soon na hilo tumbo halitaweza himili chakula,utajuta
Sorry, nataka nijue tu, hivi ni kweli mahakimu ni wajumbe wa kamati za ulinzi na Usalama za mikoa na wilaya? Elimu tahadhari.
 
Kali zaidi ni hapo alipoandika ''If he contract sickness, even not serious the country currecy must lose it is value'' Kumbe ndio maana shilingi yetu inaporomoka kila siku kwani bwana mkubwa hata akipata mafua tu inaporomoka! Asante sana hakimu!
Hii theory ndo naisikia leo kwa mara ya kwanza!
 
Back
Top Bottom