muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,101
- 1,050
Mbona lugha iko poa tu,
Na nyie wakenya acheni ukinga
Na nyie wakenya acheni ukinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itamsaidia kwenye rufaa itakayosikilizwa na watu wenye akili.Sasa hii ndio itamsaidiaje Sugu anayesota lupango?
Haitamsaidia ila inaonesha ni jinsi gani serikali ilivyoSasa hii ndio itamsaidiaje Sugu anayesota lupango?
Hao wakenya wenyewe Kiingereza sio lugha yao, wanajikomba tu.Itamsaidia kwenye rufaa itakayosikilizwa na watu wenye akili.
Wewe unajua?...Watu wana PhD hawajui English
Vipi ushampigia Sala mwenyekiti!?Mimi ninachojua mtu keshavaa magwanda ya rangi ya karoti!
THIS SENTENCE WAS WRITTEN BY MAGU AND HANDED DIRECT TO JUDGE FOR JUDGEMENT.
hahahaaa wakemia watakupima mkojoWakenya Mungu anawaona, huku kwetu watu waliosoma sheria ndio vichwa wa English sasa kama mnamcheka huyo jaji mkiona English ya wakemia itakuwaje sasa?
factHii huku hakuandika hakimu, tafuteni hukumu zake za nyuma tulinganishe na hii tuone.
sasa sio lugha yako ..kwann mitaala yote watumia kufndishia kiingereza ...huo sindio utumwa wenyewe wafrikra ..yaani umekubali kufundishwa kwa lugha hiyo halafu waikana...Aibu gani kwani Kiingereza lugha yetu.
So sad! That was from the Senior Resident Magistrate. What about Junior Resident Magistrate?
Mngeandika kiswahili basi hiyo Hukumu, maana mkiambiwa ukweli mnatafuta pa kujishikia. Sizitaki mbichi hizi.Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Kumbe nawe upo ? I believe there is nothing between your earsCha nsingi Mtu kafungwa na kafungika na Mji wa Mbeya umetulia kinyume na matarajio Uchwara ya kuibuka Vurugu