Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

English ya RC Makalla hiyo. Ameandikia gesti.
 
Hii ndiyo nzuri ili itakapochambuliwa na wanasheria wetu wasomi wanyooke vizuri.
 
Aibu gani kwani Kiingereza lugha yetu.
sasa sio lugha yako ..kwann mitaala yote watumia kufndishia kiingereza ...huo sindio utumwa wenyewe wafrikra ..yaani umekubali kufundishwa kwa lugha hiyo halafu waikana...

maskini tz ..hahaaa
 
Hiyo hukumu atakuwa kaandika yule mwenye jina linaanzia B
 
So sad! That was from the Senior Resident Magistrate. What about Junior Resident Magistrate?

Halafu wanapitisha sheria kwamba hakuna kutumia mahakama za nje kwenye kesi za mikataba na biashara za kimataifa.

Kwa hukumu kama hiyo hakuna mwekezaji atakuja.

Nchi nzima inaonekana kituko.
 
Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Mngeandika kiswahili basi hiyo Hukumu, maana mkiambiwa ukweli mnatafuta pa kujishikia. Sizitaki mbichi hizi.
 
Cha nsingi Mtu kafungwa na kafungika na Mji wa Mbeya umetulia kinyume na matarajio Uchwara ya kuibuka Vurugu
Kumbe nawe upo ? I believe there is nothing between your ears
 
Je huyu kasoma Udsm kweli? Kwa kiingereza hicho ni kweli vyuo vyetu vinatoa matutusa kuliko wataalamu.Lisu angekuwepo hakimu angejinyea
 
Kwanza hiyo hukumu kwenye hiyo karatasi ndio yenyewe? Hivi hukumu haina standard structure?
 
Back
Top Bottom