Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

bbc7c0fb55d4680cded6205198fd0fd6.jpg
1e73331713172da36f708c082430d64d.jpg
0f6b89a63db54d5932fc928f18ea9c75.jpg
241aa9214b644b7c95c8ec5b3ec6eca8.jpg
d206a7f78ab11c8740e1f22aa607992b.jpg
Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
 
Main political leader of a county [emoji23][emoji23]
 
ila Mteite kiboko. eti the country currency must lose it is value.😀 wakuu hivi sustainability of the president ndiyo inakuwaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Shame to him,,hata yule kimada wake atamkimbia,yule karani wa Mahakama kuu pale mbeya
 
Hahahaha imebidi tu nicheke japo tunasemwa sie Watanzania

Wakenya bana sasa mlitaka Hakimu wetu apige majagon ya Lumumba ?? Kama ndio hivyo hiyo hukumu ingetoka baada ya miaka kumi kutoka sasa
Usitetee ujinga. Ona aibu. Huyu hakimu anahakisi quality ya sasa ya taaluma ya TZ. Very sad. Hata ukiacha lugha mbali hukumu yenyewe ni ya maoni/hisia zake na siyo sheria. Natabiri kuwa Sugu na mwenzie watashinda rufaa.
 
Ahhajahaj
Hapana aiseee nakata rufaaa sio kwa haya ninayo yaona hapa
 
Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Kama ni ya kitumwa si muiache? Mmelazimishwa?
 
Back
Top Bottom