Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Kiingereza cha hakimu wa Sugu chazua gumzo twitter Kenya

Cha nsingi Mtu kafungwa na kafungika na Mji wa Mbeya umetulia kinyume na matarajio Uchwara ya kuibuka Vurugu
inaonyesha ni jinsi gani baadhi ya watz au tulio wengi level zetu zipo sawa na kina......
 
sasa sio lugha yako ..kwann mitaala yote watumia kufndishia kiingereza ...huo sindio utumwa wenyewe wafrikra ..yaani umekubali kufundishwa kwa lugha hiyo halafu waikana...

maskini tz ..hahaaa
Mtu yeyote anayejifunza lugha isiyo yake kwa kuzaliwa nayo huiongea kwa mapungufu. Hawezi kuiongea kwa ufasaha unaotakiwa. Mtumwa ni yule anayedhani akikosea kuiongea lugha ya watu na kuchekwa amepata hasara.
 
Je huyu kasoma Udsm kweli? Kwa kiingereza hicho ni kweli vyuo vyetu vinatoa matutusa kuliko wataalamu.Lisu angekuwepo hakimu angejinyea
Kwani UDSM ndio kuna nini?......angalia vituko vya maprofesa wake walioko serikalini unachoka kabisa seuse hawa undergraduate?!.....chuo kilikuwa IDM Mzumbe bhana kabla hakijachakachuliwa!
 
Sikujua udsm school of law has such low academic standards. Disgraceful ,shameful.
 
Inferiority complex..and mis-education of the negro. English is not all and be all. Tuna lugha yetu adhimu ya kiswahili, identity yetu. Njoo sasa kwa our neighbor Kenya, identity yao haijulikani..ni ukabila umewajaa
 
Ndo shida ya kukabidhi vilaza nafasi nyeti!.

Angekuwa mzima "upstairs" asingekubali SHINIKIZO la kijinga!

Ona aibu aliyoivuna!

Rufaa inapeta kiulaiini. The judgment is a scrap!
of coz it was a Joke of the decade if not century, but my worry is, the Integrity of our judicial system, it has been paralysed to extent that it cant be further entrusted in granting justice

Lets keep praying for the good
 
Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Kwa nini hakimu hajaandika kiswahili kama kina thamani sawa na kingereza?
 
Nataka kumjua huyu Mtetela. Wekeni CV yake hapa. Somedays I will want to kidnap his son or daughterand demand Ransom from him
 
Jamani kwanini tunalumbana na lugha ya watu wengine?wenye lugha wanatushanga Sana, kwanini Trump anatuona wajinga? Kwa mambo madogo kama haya, lugha siyo yetu kwanini kiwe kigezo cha usomi?wachinina, wajerumani, wajapani,Waturuki, warabu,Wafaransa pia na hata Wakorea viinchi vidogo wanatumia lugha zao, sisi Kwetu kingereza ni ufarahari, tujitambue jamani lugha yamwenzio ni utaumwa.
 
Hukumu kandamizi. Hukumu elekezi. Hukumu shinikizi. Ndio matokeo yake haya.
 
Jamani kwanini tunalumbana na lugha ya watu wengine?wenye lugha wanatushanga Sana, kwanini Trump anatuona wajinga? Kwa mambo madogo kama haya, lugha siyo yetu kwanini kiwe kigezo cha usomi?wachinina, wajerumani, wajapani,Waturuki, warabu,Wafaransa pia na hata Wakorea viinchi vidogo wanatumia lugha zao, sisi Kwetu kingereza ni ufarahari, tujitambue jamani lugha yamwenzio ni utaumwa.
Utetezi wa k itoto,mbaazi ikikosa maua!

KAMA huwezi endesha gari usijaribu! Utasababisha ajali.
Kwa vile tulichagua kiingereza tupambane. Visingizio havisaidii .

Mbona vyote tunavyotumia so vyetu asilia? Simu ,Tv,magari,nyumba za kisasa,ndege na huwa hatutoi vijisababu vya kijinga tunaposhindwa kuvitumia ipasavyo (ajali-madereva kuadhibiwa) kwa vile si vyetu ?
 
Hii huku hakuandika hakimu, tafuteni hukumu zake za nyuma tulinganishe na hii tuone.
Huu ni uchokozi na uchochezi wa wazi wazi... Ina maana hiyo bikini imeandikwa na nani....[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mtu yeyote anayejifunza lugha isiyo yake kwa kuzaliwa nayo huiongea kwa mapungufu. Hawezi kuiongea kwa ufasaha unaotakiwa. Mtumwa ni yule anayedhani akikosea kuiongea lugha ya watu na kuchekwa amepata hasara.
Huyu lakini hajifunzi.. Amejifunza miaka mitano shule ya msingi (darasa la 3-7) amejifunza miaka 4 sekondari.. Amejifunza lugha hiyo hiyo miaka 2 sekondari ya upili... Amekwenda Chuo kikuu amejinzia lugha hiyo hiyo.. Hatuwezi kusema hajaelewa bado.. Hiyo inamuweka kwenye kundi la wenye vichwa vizito.. Na ili kuepusha aibu kama hizi kwa mfumo wetu wa sheria wote angejifunza kazi za mikono.. Veta.
 
Hivi kwanini katiba au hukumu lazima zitolewe kwa kizungu? lugha yetu sio kiswahili. au hii inafanywa kusudi ili watu wasipoteze muda wa kusoma na kuelewa maana lugha yetu tu kiswahili bado kuna tabu ya kusoma na kuandika imagine utumie lugha sio yako. hebu sheria zipitishwe ili kiswahili pekee kitumike katika mambo yote ya serikali. kizungu kitumie nje binafsi.
 
Kali zaidi ni hapo alipoandika ''If he contract sickness, even not serious the country currecy must lose it is value'' Kumbe ndio maana shilingi yetu inaporomoka kila siku kwani bwana mkubwa hata akipata mafua tu inaporomoka! Asante sana hakimu!
hata mimi hicho kipande kimenifurahisha, Hakimu katisha sana! hahah
 
Inawezekana hiyo hukumu kaandika Alberto Msando maana ndie chief legal advisor wa kijani,si wanasema iliandikwa hotelini.
 
Back
Top Bottom