Kiingereza cha Kimarekani chamkanganya Ruto

Kiingereza cha Kimarekani chamkanganya Ruto

Ruto naye aache mbwembwe sasa, mbona kinaeleweka?😁😁😄😄
Hapo Ruto kaamua kufurahisha genge ila wabongo kwa ujinga wao wanajua kweli hakuwa anamuelewa huyo dada🤣🤣
Ruto hata akiwa nyumbani Kenya hotuba zake nyingi ni za kimombo...labda angekuwa huyu malkia wetu ndo angeingia chaka kimtindo!!.
 
Mimi mwenyewe ukiongea kiswahili cha kizanzibari sitokuelewa.

Ukiongea kile kiswahili cha kamusi ya bakita sitokuelewa.

Nina rafiki yangu muingereza anaishi marekani anasema yeye mwenyewe kunawakati hawaelewani kimazungumzo!

Kutokujua kiingereza sio ajabu sana maana ni lugha ina lahaja zake, ina rejesta zake, n.k

Mh. Ruto yupo sahihi sana na anajiamini.

Hapa kwetu ukionekana hujui basi ni nogwa
Kuna wahindi wakizungumza kiswahili Mbona utaomba mkalimani 😂😂😅😅
 
Mimi mwenyewe ukiongea kiswahili cha kizanzibari sitokuelewa.

Ukiongea kile kiswahili cha kamusi ya bakita sitokuelewa.

Nina rafiki yangu muingereza anaishi marekani anasema yeye mwenyewe kunawakati hawaelewani kimazungumzo!

Kutokujua kiingereza sio ajabu sana maana ni lugha ina lahaja zake, ina rejesta zake, n.k

Mh. Ruto yupo sahihi sana na anajiamini.

Hapa kwetu ukionekana hujui basi ni nogwa
Ni kukuza tu mambo, wala hakuna vha ajabu hapo!! Hata leo hii mchukue mtoto wa kizaramo aliyekulia bungu, aende kanda ya ziwa uone atakavyowapa shida watu kumuelewa, anaongea kiswahili lakini ni kigumu kukielewa.
 
Kuna wahindi wakizungumza kiswahili Mbona utaomba mkalimani 😂😂😅😅
Lakini hawaoni tatizo na tunawachukulia poa tu..

Sema sisi tunatabia ya kujidharau na kuwadharau watu kiasi kinachopelekea wengi kuona aibu kuendelea kujifunza..

Tuna baki na ile daaah hapa nikikosea nitaonekana vipi na elimu yangu hii
 
Mimi kanitia moyo!

Kuna mwaka nilipata wageni kazini wanaoongea hiyo lahaja. Wakati wa mazungumzo, kuna mmoja aliniuliza kitu kumbe mimi sikumwelewa, nikajikuta natoa majibu ambayo siyo waliyoyahitaji. Bahati nzuri nilikuwa na mtu ambaye ameshaishi huko kwa miaka mingi, kwa hiyo alipoona nimeenda chaka, aliniambia sicho ulichoulizwa.

Nilijisikia vibaya sana siku hiyo. Lakini kumbe sikupaswa kujihukumi kwa kihivyo!

Kama imemshinda Mwalimu wa Chuo Kikuu cha nchini Kenya, kuna uajabu gani kwa mimi kuteleza kidogo?
Yes,
ni Muhimu kutokua wanyonge au kuona haya kukosea lugha isiyo ya kwetu. Tuvae ujasiri tu kwamba tunaweza kukosea na hapo tutajifunza zaid 🐒

sasa hapa kwetu, lugha si yetu, ukikosea hata spelling tu jinsi tunavyokosoana dah! mtu mnyonge haiwezi rudia tena kuandika kiingereza 🤣
 
Lakini hawaoni tatizo na tunawachukulia poa tu..

Sema sisi tunatabia ya kujidharau na kuwadharau watu kiasi kinachopelekea wengi kuona aibu kuendelea kujifunza..

Tuna baki na ile daaah hapa nikikosea nitaonekana vipi na elimu yangu hii
Hata Kiswahili akiongea mtu mbobevu, lazima tutafute kamusi.
 
Bora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄

Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American scent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.

Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.

Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
View attachment 2997740
Mbona ameeleweka tu jamani!
She was just introducing herself, her mother and their company in kenya.
Ukitaka kuwaelewa wamarekani, penda kuwasikiliza mara kwa mara!
 
achilia mbali kiingeleza kiswahil cha chuga mzanzibar aelew pia kuna kiswahil cha masela na wauni (32 wachekelea na 45 kikosi ) nitofauti na kiswahili cha nchi nzima kwaiy izi lugha zinategemeana
 
Nilifanyiwa interview na mturuki ile ngeli yake nikawa namwambia pardon, pardon. Akaniuliza nina tatizo la kusikia, nikamjibu hapana. Akaniuliza mbona pardon pardon ziko nyingi, nikamwambia tena pardon. Alicheka kinoma.
 
Back
Top Bottom