Wengi wameuingia mtego wa Rais Luto na video imeenda viral,so Lengo limefanikiwa.
Kiukweli Alikuwa anamwelewa vizuri tu,ila Luto ni mjanja na smart sana.
Kaona akipromote kiswahili hasa ukizingatia huko mambele kiswahili kinaonekana kama lugha wakenya na si Tanzania.
Kwa haraka unaweza kuingia huo mtego wa "Rais Luto hajui kingereza cha kimarekani"
Hapo hakuna cha lahaja Wala accent, alikuwa anamwelewa vizuri tu. Ila akamtoa kwenye reli kwa kumtaka aongee kiswahili,Huku akijifanya haelewi hiyo slang.