Mimi nakumbuka alishindwa jua Tanganyika iliungana na nchi gani kuunda Jamhuri ya Muungano.Kuna awamu ilimteua MTU anaitwa Mulugo kama Naibu Waziri wa Elimu alichoenda kufanya SA kwenye Mkutano kiliwaacha Hoi watu. Baadae alitumbuliwa sikumbuki kosa lake. Akishindwa kutaja hata mwaka Kwa kuthungu.
Dah..nyie watu aisee.Hakuna cha kuandika wala cha kuongea.
Nili kuelewa mama mkubwa ndio kikao cha CCM tena hichoNimeongea Kwa kebehi yaani huyo ndugu Mheshimiwa alivyo nweupe leo karudi Bungeni? Kweli Bunge la wademkaji.
Kiingereza ni lugha kama ilivyo lugha yako ya nyumbani (Mother tongue. Kujua Kiingereza hakumaanishi intelligence au IQ kubwa.Nimefuatilia mara kadhaa kuona uwezo wa Paulo kujibu hoja kwa kutumia lugha yake ya darasani , mara kadhaa anaponyemelea vyombo vya habari ujificha kwenye kiswahili. Niombe kujua kiingereza kipo pale au kipo chakuandika?
Kuna Uzi WA Mulugo humu sijui kufukua makaburi ningefukua watu waienjoy English ya Naibu Waziri.Nili kuelewa mama mkubwa ndio kikao cha CCM tena hicho
πππππKuna Uzi WA Mulugo humu sijui kufukua makaburi ningefukua watu waienjoy English ya Naibu Waziri.
Nimeongea Kwa kebehi yaani huyo ndugu Mheshimiwa alivyo nweupe leo karudi Bungeni? Kweli Bunge la wademkaji.
Unachanganya mada sasa sema mi nshakuelewa unamlenga Nani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2839]Paul Makonda, akiandika tu kwa Kiswahili anafanya makosa mengi ya kisarufi, Sasa hicho ki malkia atakiweza?
Sina hakika kama anakijua hicho kiingereza. Mweupe hasa hana kitu pale zaidi ya ujanja ujanja na kubebwa.Nimefuatilia mara kadhaa kuona uwezo wa Paulo kujibu hoja kwa kutumia lugha yake ya darasani , mara kadhaa anaponyemelea vyombo vya habari ujificha kwenye kiswahili. Niombe kujua kiingereza kipo pale au kipo chakuandika?
Alichanganya vitu viwili mwaka na Zanzibar ni muungano wa Zimbabwe na Tanganyika nadhani...
Naogopa hata kumsikilizaππππππππ
Huyo Mulugo enzi hizo ilikuwa ni shida anatoa hotuba anasema Tanzania ni muungano wa nchi ya Zanzibar na Zimbabwe.Kuna awamu ilimteua MTU anaitwa Mulugo kama Naibu Waziri wa Elimu alichoenda kufanya SA kwenye Mkutano kiliwaacha Hoi watu. Baadae alitumbuliwa sikumbuki kosa lake. Akishindwa kutaja hata mwaka Kwa kuthungu.
Mbona wana sayansi hawaandiki vizuri. Profesa wengi hapo mlimaniKuandika...!!? Hivi ulishawahi kuona mwandiko wake aliotumia kalamu na mkono wake...!? Ukitaka kujua kama anajua kuandika na mwandiko wake upo vipi, basi kama unatumia mkono wa kulia kuandika, basi funga macho halafu utumie mkono wa kushoto uandike "Nawasilimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kisha fumbua macho, utakachokiona ndio mwandiko wake!
Alafu kuna watu wanadhubutu kusema hata kama mzazi una pesa hakuna haja ya kumpeleka mtoto wako englsh mediumπ€£π€£π€£πππππ
Mbona wana sayansi hawaandiki vizuri. Profesa wengi hapo mlimani
Kweli jimbo gani? Alipamba magazeti sana kipindi kile kwa kushindwa kutamka mwaka kwa kingereza