Mnyongeni Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 628
- 731
historia ya huyo mulugo/MULUNGU jina halisi nnayo kama yote aki nkikumbukaga nacheka sanaKuna awamu ilimteua MTU anaitwa Mulugo kama Naibu Waziri wa Elimu alichoenda kufanya SA kwenye Mkutano kiliwaacha Hoi watu. Baadae alitumbuliwa sikumbuki kosa lake. Akishindwa kutaja hata mwaka Kwa kuthungu.