[emoji23]Hapana.
Fluency haihusiani na kusoma vilivyoandikwa.
Ni kwamba hana lafudhi nzito/ nene. Hicho ndicho kinachomfanya aonekane ana afadhali.
Lakini maneno mengi sana yanampa shida kuyatamka.
Hata yale maneno ya kawaida ya hiyo lugha hawezi kuyatamka vizuri.
Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka.
Kweli mkuu!Ni kujikosha kwao tuu ila sasa kuna ile ya mazungumzo ya ana kwa ana personal sijui itakuaje,so lugha inakuwa ni muhimu
Yule aliyekuwa ana kurupuka tu, alitufanyia nini la maana?zaidi ya kutuingiza chaka tu.?Rais kilaza,uwezo wake wa kujaji mambo ni mdogo sana anapelekwa tu
Uzuri ni kuwa yeye mwenyewe atakuwa wa kwanza kukuunga mkono.Kila nikiuona huu uzi naishia kusema Mkuu Nyani Ngabu kumbe ni bure kabisa hamna kitu
Mwambieni Biden naye aongee Kiswahili, au Putin aongee Kiingereza. Pale Kenya nadhani unajua Kiswahili chao, hatupangwingwi kuongea Kiingereza bana.Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Yeah, kama ulivyosema kuna shida,ila JPM was worse.Anyway ni tatizo la Watanzania wengi,na kwa sababu hiyo watu wengi wamejaribu ku-downplay umuhimu wa Kingereza,which is wrong.Kingereza kama an international language ni muhimu kwa kuwa we do not live in isolation.Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Kwa hayo juu, naweza tupa lawama kwenye Wizara ya Mambo ya nje!Kwangu lugha maridhawa si tatizo sana kwa sababu Umombo si lugha yetu mama, nakwazika sana Rais yoyote akiwemo Samia kuanza kukandia viongozi waliopita wakati ni viongozi waliotokana na chama kilekile kiitwacho chama tawala...
Sijui hawaelewi kuwa unapomponda Rais aliyepita ni sawa kabisa na kukiponda chama chao wenyewe na sera ama ilani zake...
Aliyeharibu haya ni Nyerere na itikadi zake za kijamaaKuijua lugha si lazima uishi huko, miaka ya sitini wanafunzi walikuwa wanakijua vizuri kiingereza ndiyo sababu iliwawezesha kupata krediti kwenye mitihani ya Kembriji, fahamu walikuwa wa shule za serikali.
Kabobea kwenye eneo lipi?... Mama akija uongee nae maswala ya Community Development & Economics.. unaweza na wewe kutoka Nduki.. kila mtu ni mbobezi kwenye Field Area yake...
umenikumbusha maandishi ya ben saanane yaliyokuwa yanakosoa Phd uchwara ya magufuli.Kuna watu wanaumia sana Samia akisemwa, akikosolewa!
Magu alisemwa, alikosolewa sana na bado anasemwa na watu mnafurahia.
Kulima sio kufanya kazi? Huu msemo maana yake nini hasa!Kumbe uraisi ni kurisishana?
Kwa hiyo CCM sio chama cha wakulima na wafanyakazi?
Ni sawa asijue Kiswahili kwani toka vidudu hadi chuo kikuu wao wanatumia Kiingereza. Sisi pia elimu yetu kwa kiasi kikubwa ni Kiingereza hivo ni ajabu kushindwa kuiongea kwa ufasaha something must be wrong somewhere.lugha ya taifa ni kiswahili
uyo kamala mwenyewe akija bongo kiswahili hata cha kusoma ajui
Hivi unajua hata kiengereza ulichoongea kwa sentensi 2 teyari kina makos???Ni sawa asijue Kiswahili kwani toka vidudu hadi chuo kikuu wao wanatumia Kiingereza. Sisi pia elimu yetu kwa kiasi kikubwa ni Kiingereza hivo ni ajabu kushindwa kuiongea kwa ufasaha something must be wrong somewhere.
Shida yote ya nini wakalimani si wapo aomgee tu kiswahili ila kwa kweli anajitahidi labda to confidence ndio inampa taabuHapana.
Fluency haihusiani na kusoma vilivyoandikwa.
Ni kwamba hana lafudhi nzito/ nene. Hicho ndicho kinachomfanya aonekane ana afadhali.
Lakini maneno mengi sana yanampa shida kuyatamka.
Hata yale maneno ya kawaida ya hiyo lugha hawezi kuyatamka vizuri.
Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka.