Kiingereza cha Rais Samia

Kizungu atakijua wapi na ilmu yake yakuunga unga
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio alivyo,tuombe Mungu watu wanaomzumguka wawe smart vinginevyo ni hatari
 
Marekani ishakuwa na wagombea wawili wanawake wa katika nafasi ya umakamu wa Rais kutoka vyama vyao viwili vikubwa kabla ya Kamala.

Hangaya hajui hayo!

Hata Wikipedia huwa hachungulii?
 
Huyu alizaliwa na kukulia Butiama huko.

Hebu mcheki hapo. Super impressive.

Hasomi popote.

Huyu alikuwa bright sana na ana exposure kubwa..Tatizo nature ya eneo analotoka mzee Ngabu,kule kwao mwaka jana matokeo ya form four kisiwa kizima hakuna division one ni wazi kuwa weng wao kujishughulisha kupata Knowledge mpya ikiwemo hii ya Lugha ni mtihan sana tu
 
Kwa aina ya wananchi wetu mama anajua sana na anajitahidi. Kumbuka lugha huwa ina kuwa affected na mothertongue.

Mimi nimefurahi raisi wangu anapoongea kwenye platform kama hiyo, kuachilia mbali wanawake wengi wanauoga kuongea mbele za watu haswa wa kiislamu. Anatamka maneno tunayaelewa makosa madogomadogo ni kawaida. Huwezi kumlinganisha Raisi wa ghana na George weah kwenye pronounciation, choice of words and mannerism when they conversate.
 
😂😂mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Kuijua lugha si lazima uishi huko, miaka ya sitini wanafunzi walikuwa wanakijua vizuri kiingereza ndiyo sababu iliwawezesha kupata krediti kwenye mitihani ya Kembriji, fahamu walikuwa wa shule za serikali.
 
Hahahha yaani ukiwa kichwa panzi we kichwa panzi tu! Yaani taarifa za akina Hillary Clinton walishawahi kugombea!
 
Gazeti la New York times nimeona kuna kipande wamemtaja kwamba ms Samia who is "soft spoken" sa sijui wamependa uongeaji wake huo au wamemind?
 
Sioni kama ni tatizo kubwa sio mother tongue yao JPM na Samia sio lazima waongee fluently.

Mfumo wetu wa elimu wa zamani kiingereza hakikupewa nafasi kubwa hata uwe na PHD hauwezi ongea fluent English.

Siku hizi English medium ndio zinasaidia kuwa fluent sababu watoto wanajua kirahisi zaidi.

Tunamjudge kiongozi wetu kwa vigezo muhimu vipaumbele ktk policies,Diplomacies etc sio kiingereza.
 
“Conversate” is nonstandard English.

The correct word is ‘converse’.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…