Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #101
Kama kama taifa tuliamua kuwa Kiingereza kiwe moja ya lugha yetu ya taifa, basi kukijua ni lazima.Syo lazima ujue kingerereza cha moja kwa moja,kikubwa ni kuelewana tu
Ova
HEBU WEKENI VOICE NOTE MKITEMA NGELI NYIE WAJUZ MNAONGEA KINGEREZA FASAHA KAMA MUINGEREZA
OVA
Shida ni yeye mwenyewe.Rais ana shida sana yakutikuwa mfatiliaji wa mambo muhimu !
Rais pia ana shida ya wasaidizi maana wanamuandikia vitu vya kumuabisha kabisa!
Yani kila akiongea au kusoma vitu lazima atakwenda chaka....sijui shida ni nini?
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Hicho chombo cha habari kitapigiwa simu moja tu wakate matangazo ya moja kwa moja haraka sana..Pata picha Hangaya yuko kwenye mdahalo wa Kiingereza na Lissu 🤣.
It won’t be fair at all.
Huku Rondo ndo Massachussets??Eeh amekulia barabara ya Massachusetts yule karibu na viunga vya Peterson Institute pale hivyo hana shaka na papai.
Achana na chombo cha habari.Hicho chombo cha habari kitapigiwa simu moja tu wakate matangazo ya moja kwa moja haraka sana..
Hahahahaaaa, yaani haya mambo yanafikirisha sana.Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Imagine Magu na Hangaya wanalonga kwa Kiingereza wakiwa peke yao ofisini 🤣🤣Hahahahaaaa, yaani haya mambo yanafikirisha sana.
KabisaTENA WAONGEE FACTS,BILA KUSOMA MAHALI....
Kwangu lugha maridhawa si tatizo sana kwa sababu Umombo si lugha yetu mama, nakwazika sana Rais yoyote akiwemo Samia kuanza kukandia viongozi waliopita wakati ni viongozi waliotokana na chama kilekile kiitwacho chama tawala...
Sijui hawaelewi kuwa unapomponda Rais aliyepita ni sawa kabisa na kukiponda chama chao wenyewe na sera ama ilani zake...
Hii ya kusikia neno na kuchukua kama lilivyo ni udhaifu wa wanawake wengi kutokana na kupenda umbeaKuhusu facts ndogo ndogo nimewahi kuuliza wanao muandalia speech wanakuwaga na lengo Gani na yeye kwa nini huwa hazikagui,
Hofu yangu huyu bibi ni mvivu Fulani ni mtu wa kulishwa Kila kitu...
Nilishangaa na Mimi kusikia Kamala ndio mgombea wa kwanza mwanamke...
Kingine Samia siyo mtu wa kusikiliza na kutoa arguments, Bali wa Ndiyo ndiyo Kila unapomwabia kitu, nilisikia hii wakati Kamala anazungumza
Hakujaribu kukiongea.Mbona Kamala hajui kiswahili na hamsemi?
😂😂mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Ndomana kuna nchi Zingine ukienda na ngeli yako,wao hawana habari wanakujibu kwa lugha yao tuTENA WAONGEE FACTS,BILA KUSOMA MAHALI....
Hawa bado wana utumwa unawasumbuaMbona Kamala hajui kiswahili na hamsemi?