Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

lugha ya taifa ni kiswahili

uyo kamala mwenyewe akija bongo kiswahili hata cha kusoma ajui
Magu alikuwa anajiongelea kiswahili tu alipoenda Malawi ila akachekwa......wakati Rais wa China popote anaongea kichina tu,ila Tz mtu akiongea ingilishi ndiyo anaonekana yupo Smart sana hata kama anaongea ujinga
 
Dah mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Watanzania tutaambia Nini watu sasa??


Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

IMG_0890.jpg
 
Ila watanzania nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!


@

IMG_0843.png
 
Sasa subiri Hangaya arudi toka huko Marekani.

Wataenda wote [akina Sirro, Mabeyo, Mpango, Mwigulu, Kinana, Umi, Nape, Gwajima, na wengineo] kumpokea uwanja wa ndege.

Watamwimbia nyimbo, watamchezea ngoma, na usishangae ukimwona Mwigulu kajifunga kibwebwe huku akikatika na kuimba ‘mama kaupiga mwingi Marekani’.

Yaani ujinga ujinga tu.
🤣🤣🤣🤣 Mabeyo na Sirro wameshaona kosa walilofanya Hawaendi kwenye mikutano yake siku hizi, but Mkuu wa mkoa wa Dar lazima ampokee
 
Sina Nia ya kubeza Imani ya mtu...zamani nikiwa mdogo nilikuwa na rafiki ambaye alikuwa anasoma kitabu flani cha dini yake kilichondikwa kwa lugha ya kigeni sasa siku moja nikaokota kipande cha gazeti ambalo limeandikwa kwa lugha hiyo nikamuomba aniambie gazeti Hilo limeandika kuhusu nini? Rafiki huyo akaniambia maandishi ya misahafu siyo sawa na maandishi ya gazeti japo ni lugha ile ile! Nilikuja kugundua kuwa huwa wanakaririshwa tu hata maana yake hawajuhi....kama mama alipitia masomo kama hayo hawezi kuhoji anachiandikiwa nini maana kukariri ndiyo asili yake!
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana hajali kabisa aibu ndogo ndogo...
 
Ni vigumu sana kuwa fluent kwenye lugha ambayo huitumii kwenye mawasiliano yako ya kila siku, inakuwa ngumu sana kujenga misamiati ya kutosha ikiwa hiyo lugha huitumii...........na bila misamiati au maneno ya kutosha utaanza kutafutatafuta maneno sahihi na mwishowe unaishia kupata kigugumizi na kupoteza confidence......
Well stated Nyumis👌👌
 
Naomba nitoe ushauri na kuwatoa ushamba ndugu ZANGU kiingereza kwetu ni lugha ya kujifunza sio lugha MAMA na sio kwetu tu Hata KWA mataifa MENGINE makubwa kama china na urusi!!KWA huo hatuwezi kuiongea KWA lafudhi kamili ya wazungu au wamarekani!!kuongea kama wao sio kielelezo Cha u competence KWENYE lugha na utendaji tuachane na huo ushamba mbona hamuwakosoi wachina wanavoongea au warusi mmekomalia waswahili PEKEE!!?Mama ameeleweka na wamarekani wamemwelewa Sana!!! Ni nyie tu mmekosa mantiki!!
You can say it again and again 👌👌
 
Nyerere Na Mkapa walikua super sana kwenye iyo lugha ,kujiamini na kutema madini tu bila kuandikiwa kwa kutumia iyo lugha
Lugha aliiweza Nyerere tu bhana....Mkapa pronunciation nilikuwa nauficha USO wangu nikimsikiliza.

Kuna siku alikuwa yeye , Thabo na Abasanjo nimesahau tukio....ajin'gatan'gata hatari.

Mwalimu aliiweza lugha..na ni rahisi tu...aliiweza maana alikuwa anasoma saana na kufanya research saana kabla ya kuwa Rais na baada.

Hawa viongozi wengine wengi wanasiasa wa vyeo tu.
 
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Tz ukiwa na stress umejitakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka.

Pep
Ila maneno mengine hata hao wazungu wenyewe huwashinda kujua jinsi ya kuyatamka.
 
Watatuaibisha zaidi....unakumbuka mkalimali wa mazishi ya Magufuli alivyoshindwa kutafsiri alichosema Rais wa Botswana?
Wapo vijana wamesoma nje ya Nchi na ndani kwenye shule za michepua ya English wako very fluent
 
Back
Top Bottom