Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Tunahitaji Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu awe anajua Kiingereza cha kawaida tu , hatuhitaji awe mtaalamu wa hiyo lugha kama vile anaenda kufundisha Oxford Univ.

Tunamsitiri Rais wenu Biden jinsi dishi lilivyoyumba katika hotuba zake ..
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Kwenye kutojua facts ndogo ndogo kwa level ya Mkuu wa nchi nitaungana na wewe kwasababu inaonesha uvivu au uzembe wa kutojishughulisha kufahamu Mambo. Hili ni janga kwa viongozi wengi

Hata hivyo, hapa kwenye ujuvi wa lugha huu ni mwendelezo wa utumwa wa kifikra!. Kudhani kujua lugha vizuri ya kizungu ndo usomi na ujuvi wa Mambo huu ni uhayawani

Tunapoelekea watakuja wajukuu/ vitukuu wetu na watatucheka sana wanakapokuta mijadala ya kutukuza lugha za wenzetu huku yetu ikitushinda

Huwa nashangaa sana! Lugha ni sehemu ya utamaduni wa binadamu na hakuna binadamu aliyepiga hatua kimaendeleo kwa kuamua kudharau vya kwake na kutukuza vya watu. Huu ni uhayawani
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Kwani wao Wamarekani wanaongea vizuri Kiswahili? Hebu mchukue Biden, anaweza kuzungumza Kiswahili (bila kukoseakosea?)..Acha hizo Ngabu!
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Uwezo wake mkubwa sana kwa lugha ya malkia kulinganisha na mwendazake. Huyo alikuwa ni aibu sana.
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, saruf

Sioni kama ni tatizo kubwa sio mother tongue yao JPM na Samia sio lazima waongee fluently.

Mfumo wetu wa elimu wa zamani kiingereza hakikupewa nafasi kubwa hata uwe na PHD hauwezi ongea fluent English.

Siku hizi English medium ndio zinasaidia kuwa fluent sababu watoto wanajua kirahisi zaidi.

Tunamjudge kiongozi wetu kwa vigezo muhimu vipaumbele ktk policies,Diplomacies etc sio kiingereza.
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wachache wenye akili.
Watanzania wengi tunafikiri kujua kiingereza ndio kuwa na akili. Sijui ni nani aliye turoga na kutujaza ujinga huu.
Mara nyingi tuna pima uwezo wa viongozi wetu kwa kuangalia uwezo wao wao wa kuzungumza kiingereza badala ya kuangalia ufanisi wao wa utendaji kazi.
Jamini tuamke kiingireza sio kipimo cha akili au uwezo wa kuongoza. Kiingereza ni lugha kama lugha zingine. Tutoke huko utumwa wa fikra.
 
Kuiinganishal hata hicho chenye walakini Cha Samia na cha hayati Mwendakuzimu ni matusi makubwa.
 
Kuandika kingereza na kuongea kingereza ni vitu viwili tofauti, hata Magufuli alikuwa anajuwa kuandika kingereza vizuri tu.

Wazungu wenyewe waliojifunza kingereza kama lugha ya pili wakiongea English utacheka, au wasikilize waarabu kingereza chao ni full burudani.

Kimsingi mtu kama English siyo lugha yako ya kwanza ukijuwa kingereza cha mawasiliano inatosha sana, wewe siyo English leacture kwamba unataka kufundisha lugha.
Wanajilinganisha na waingereza kwenye lugha

Ova
 
Wabongo ni wajinga sana, Sasa unalazimisha azungumze kama muingereza wakati sio lugha yake?
 
Hio fluent yao imesaidia nini kuiletea maendeleo tz!!?hivi waitaliano kama kina Anceloti wanaongeaje kiingereza umewahi kumsikia!!?ulisikia mzungu yeyote anamkosoa pale England!!?si walimwelewa na hakuna shida yeyote!!?kwanini mumkosoe mswahili anapooongea kiingereza kwa lafudhi ya kiswahili!!?kama sio ushamba ni nini!!!?NI UJINGA WETU TU KUDHANI KUONGEA KWA KUBANA PUA KAMA WAO NDIO MAENDELEO NA PERFOMANCE YA KUKUZA MAENDELEO KUMBE USHAMBA NA U DUNI WA KUFIKIRI!!!HATA NYERERE HAKUONGEA KWA LAFUDHI YA WAZUNGU BALINLAFUDHI YA KISWAHILI KAMA WENGINE TU!!!
Ikiwasaidia wao ,Tzn inafaidia..
 
1. Ndugu Nyani Ngabu, ni kweli katika eneo la kuimudu lugha anaweza asiwe mzuri, however, huyu mama is far better than Mr Magufuli..

2. Kwa upande mwingine, inaeleweka kuwa, lugha ya kiingereza ni lugha ya tatu kwetu sisi Watanzania baada ya lugha zetu za asili na kiswahili. Na kwa hiyo, wote hatukimudu kiingereza unless uwe umekulia huko huko kwa wanaotumia lugha kiingereza kwa mawasiliano ya kila siku..

3. Kwa ishu ya kujiamini ktk platforms za kimataifa, nakubaliana na wewe kuwa, lipo kwa huyu mama na lilikuwa kubwa zaidi kwa aliyemrithi kiti hicho, Magufuli;

Tatizo hili liko kwa watanzania wote tokana na zifuatazo..

✓Mfumo wetu wa elimu ya kuchapana viboko unawatia hofu badala ya kujiamini watoto wetu..

✓Mfumo wetu wa kisiasa na kiutawala unajenga hofu kwa watu badala ya kujiamini..

✓Kwa viongozi wetu akiwemo Rais Samia ni kukosa international exposure. Na kwa kuwa ni Rais, basi ndiyo tu anaipata kwa sasa. I am sure akifanya PC briefing kama hii mbili au tatu huko nje, kutampa kujiamini..
 
Hata Uingereza kwenyewe ukiishi hapo unakuja kugunduwa kingereza hicho wana tofauti England, Irish na Scotland.
Alafu kuna mtu humu anakuambia kiswahili hakina maana kwa mzungu/mgeni Hahaha
Wakati wanaokuja kuwekeza wanafanya juu chini mpaka wakifahamu lugha hii

Ova
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Marais wa Tanzania waliotuwakilisha vizuri kwenye hii lugha walikuwa ni Julius Nyerere na Benjamin Mkapa tu, hawa wengine hakuna kitu
 
Back
Top Bottom