Wandugu.
Katika topic hii nitathibitisha kuwa, kiini cha hizi dini ambazo waafrika wengi hasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla tunazozifuata zina kiini Afrika. Kwa maana hii, namaanisha, waisraeli waligeza mawazo ya Mungu ya Afrika na kuyageuza kuwa mawazo yao na mwisho kuyageuza/ distortion mawazo yetu na kuturudishia sisi katika form ya ukristu/ uislamu.
Vilevile nitaongelea falsafa ya wagiriki na nitaonyesha kuwa kiini cha hii falsafa( kwa mfano aristotle, socrates) ni Afrika hasa ya weusi, hasa misri ya kale.
Nitakaribisha wasomi wote hasa wa falsafa kutoka seminari kwa mawazo yao.
Nitaendelea, Nakaribisha hoja.
Katika topic hii nitathibitisha kuwa, kiini cha hizi dini ambazo waafrika wengi hasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla tunazozifuata zina kiini Afrika. Kwa maana hii, namaanisha, waisraeli waligeza mawazo ya Mungu ya Afrika na kuyageuza kuwa mawazo yao na mwisho kuyageuza/ distortion mawazo yetu na kuturudishia sisi katika form ya ukristu/ uislamu.
Vilevile nitaongelea falsafa ya wagiriki na nitaonyesha kuwa kiini cha hii falsafa( kwa mfano aristotle, socrates) ni Afrika hasa ya weusi, hasa misri ya kale.
Nitakaribisha wasomi wote hasa wa falsafa kutoka seminari kwa mawazo yao.
Nitaendelea, Nakaribisha hoja.