huwa na kawaida ninipomuona kiongozi anaelindwa kuangalia walinzi wake wamekaaje, namaanisha wanavyojio-organize, huwa napenda tu kwa sababu naipenda kazi hiyo. katika angalia yangu nikakutana somewhere na hii hapa, walinzi wa Rais wanaojulikana kama PSU wakitabasamu tena zaidi ya mara mmoja wakiwa kazini yani kumlinda rais. SWALI KWA WANA-INTELIJINSIA JE HII KUTABASABU HAIPUNGUZI UMAKINI WAKE, najua wao ni binadamu. JE ASSUME KUNA ASSESMENT YA KUANGALIA MAPUNGUFU JE KUONEKANA UMETABASAMU TENA ZAIDI YA MARA MOJA SIO TATIZO?
Vipi nikikwambia kwamba kwenye picha ya pili,macho na tabasamu haviendani,jamaa yupo kazini.
huwa na kawaida ninipomuona kiongozi anaelindwa kuangalia walinzi wake wamekaaje, namaanisha wanavyojio-organize, huwa napenda tu kwa sababu naipenda kazi hiyo. katika angalia yangu nikakutana somewhere na hii hapa, walinzi wa Rais wanaojulikana kama PSU wakitabasamu tena zaidi ya mara mmoja wakiwa kazini yani kumlinda rais. SWALI KWA WANA-INTELIJINSIA JE HII KUTABASABU HAIPUNGUZI UMAKINI WAKE, najua wao ni binadamu. JE ASSUME KUNA ASSESMENT YA KUANGALIA MAPUNGUFU JE KUONEKANA UMETABASAMU TENA ZAIDI YA MARA MOJA SIO TATIZO?
huwa na kawaida ninipomuona kiongozi anaelindwa kuangalia walinzi wake wamekaaje, namaanisha wanavyojio-organize, huwa napenda tu kwa sababu naipenda kazi hiyo. katika angalia yangu nikakutana somewhere na hii hapa, walinzi wa Rais wanaojulikana kama PSU wakitabasamu tena zaidi ya mara mmoja wakiwa kazini yani kumlinda rais. SWALI KWA WANA-INTELIJINSIA JE HII KUTABASABU HAIPUNGUZI UMAKINI WAKE, najua wao ni binadamu. JE ASSUME KUNA ASSESMENT YA KUANGALIA MAPUNGUFU JE KUONEKANA UMETABASAMU TENA ZAIDI YA MARA MOJA SIO TATIZO?
Em chunguza vizuri hii picha. Hao PSU hawajawa wajinga kiasi hicho. Mjinga ni huyu aliyetangaza hiki kinachoonekana katika hii picha. Hebu ichunguze vizuri picha kwenye left breast. What do you see? Hakuna bullet proof vest hapo?
View attachment 102490
Katika mfumo wa coordination ya mwanadamu hakuna namna mwanadamu aliyetabasamu akapoteza umakini wa jambo mama alifanyalo...
Pili hapa tukionacho ni taswira mnato tu za watu wanaocheka na kutabasamu ndani ya hiyo sekunde ambayo taswiraa hiyo ilinaswa...
Tatu umakini wa mtu hupimwa kulingana na ufanisi wa mtiririko wa matukio au jambo lile alifanyalo...sio tukio moja tu au mawili...
unafatilia mambo yasiyo na msingi wala tija sijui kucheka kwao kuna kuuma nini?huwa na kawaida ninipomuona kiongozi anaelindwa kuangalia walinzi wake wamekaaje, namaanisha wanavyojio-organize, huwa napenda tu kwa sababu naipenda kazi hiyo. katika angalia yangu nikakutana somewhere na hii hapa, walinzi wa Rais wanaojulikana kama PSU wakitabasamu tena zaidi ya mara mmoja wakiwa kazini yani kumlinda rais. SWALI KWA WANA-INTELIJINSIA JE HII KUTABASABU HAIPUNGUZI UMAKINI WAKE, najua wao ni binadamu. JE ASSUME KUNA ASSESMENT YA KUANGALIA MAPUNGUFU JE KUONEKANA UMETABASAMU TENA ZAIDI YA MARA MOJA SIO TATIZO?