mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
- Thread starter
- #21
unafatilia mambo yasiyo na msingi wala tija sijui kucheka kwao kuna kuuma nini?
kwani nimesema imeniuma ndugu? Kuuliza si ujinga, tuliambiwa askari akijikuna kwny gwaride ni kosa, na hapa nimeuliza tu mbna wengne wamenijibu au we ukasirika na nini ndugu yangu, samahani lakini km nimekukwaza