KIINTELIJENSIA IMEKAAJE (PSU kutabasamu wakiwa kazini)

KIINTELIJENSIA IMEKAAJE (PSU kutabasamu wakiwa kazini)

View attachment 101539 View attachment 101540 Huwa na kawaida ninapomuona kiongozi anayelindwa kuangalia walinzi wake wamekaaje, namaanisha wanavyojio-organize, huwa napenda tu kwa sababu nawakubali hao watu.

Katika angalia yangu nikakutana hii hapa, walinzi wa Rais wanaojulikana kama PSU wakitabasamu tena zaidi ya mara moja wakiwa kazini.

SWALI KWA WENYE UJUZI, HII KUTABASABU HAIPUNGUZI UMAKINI WAKE, najua wao ni binadamu.
mkuu, kumbuka "too much laughter corrupts your mind and heart"
kuna crime moja iliwahi kutokea hapa karibia na kibanda changu cha kuuza mkaa kuna vijana wawili walipigana kisha wakachanana na visu mikononi. sasa baada ya ile issue kwenda police ikabidi askari mmoja wa CID aje kufanya mahojiano na mashuhuda wa tukio ili kuweza pata some clues on what really happened. wakati mashuhuda wengine wanahojiwa mimi sikuwepo nilikuwa nimetoka kidogo, ila wakati narudi na watu wakinisubiri kama shuhuda ambaye tukio limetokea eneo lake la kazi (kibanda changu cha mkaa), nilipofika ile natokeza tu yule askari mpelelezi alinipokea kwa kicheko na furaha sana, na kuanza kupiga kwanza story za akina diamond na kucheka sana na mimi namna manchester utd walivyokuwa vilaza ligi kuu ya uingereza siku hizi, pamoja na mambo mengi sana tu ya ujana. hapa lengo la askari yule lilikuwa ni kunichota kwanza akili zangu ili nimpe ushirikiano wa kutosha na maelezo ya kuridhisha katika kazi nzima ya kukusanya ushahidi wake kutoka kwangu.
kwa hiyo mimi nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani ya kuwa kicheko kikizidi kinaweza kupoteza umakini wa mtu kwa watu kukuchota akili na kupoteza lengo kuu la kazi yako.
 
Mkuu kuna uzi mmoja unaozungumzia utofauti wa mwanausalama na mpelelezi uliulizwa ukasema unauza mkaa Tandale...vipi ulishaachaga kuuza?
mkuu, mimi maisha popote kaka.........mtoto wa masikini hachagui kazi ndugu yangu!!!!!!
 
Sawa mkuu komaa na mishe...ila unavitu hadimu sana hususani haya mambo ya ujasusi na upelelezi.

Najifunza mengi kupitia wewe
asante sana mkuu, hata mimi ninajifunza mengi sana kupitia GOOGLE, tuendelee kupeana mambo kaka!!!!!!
 
Huu uzi ningeweza kuufuta ningefanya hivyo, sijui nilifikiria nini kuanzisha huu miaka 4 iliyopita. Anyway ni kama vile kukumbuka vituko nilivyofanya nikiwa mtoto
 
Huu uzi ningeweza kuufuta ningefanya hivyo, sijui nilifikiria nini kuanzisha huu miaka 4 iliyopita. Anyway ni kama vile kukumbuka vituko nilivyofanya nikiwa mtoto
kwa nini sasa unataka kuufuta mkuu???!!!!!
 
View attachment 101539 View attachment 101540 Huwa na kawaida ninapomuona kiongozi anayelindwa kuangalia walinzi wake wamekaaje, namaanisha wanavyojio-organize, huwa napenda tu kwa sababu nawakubali hao watu.

Katika angalia yangu nikakutana hii hapa, walinzi wa Rais wanaojulikana kama PSU wakitabasamu tena zaidi ya mara moja wakiwa kazini.

SWALI KWA WENYE UJUZI, HII KUTABASABU HAIPUNGUZI UMAKINI WAKE, najua wao ni binadamu.
Ni mlinzi yupi hapo uliyemtambua kwamba ni psu? Hivi psu ni nini? Na kanuni za utendaji ni zipi? Hivi kutabasamu (human emotion) ni tatizo kwa psu/mwanajeshi etc?? naomba nisaidie kunielewesha
 
Ni mlinzi yupi hapo uliyemtambua kwamba ni psu? Hivi psu ni nini? Na kanuni za utendaji ni zipi? Hivi kutabasamu (human emotion) ni tatizo kwa psu/mwanajeshi etc?? naomba nisaidie kunielewesha
Presidential Security Unit. ( PSU )
 
Sijui kwa nini hii thread inarudi kwenye chati, hivi hakuna namna nikaifuta hii thread
 
Back
Top Bottom