Kijana adaiwa kufariki akijichua

Mleta uzi kapotosha watu. Huyo jamaa hakufa kwasababu ya nyeto.
 
Huyu asizikwe ashitakiwe kwa kosa la kujarbu kujiua na kufanikiwa.
 
swala la kujichua hapo sio kweli..nafikiri mwamba ni amekutwa amekata moto ndani na unakuta watu mpaka wanakuja kujua wesha chelewa dat why bi mkubwa anakazia swala la kuoa hapo..mwamba kafika hapo hata mwenye nyumba hako apo ye yupo tu hana mke
 
Kwahiyo mtu akifa bafuni tutasema amekufa sababu ya kuoga? Tangu lini kuoga kukaua mtu?
Mtu akifa anakula, tutasema kafa sababu ya kula chakuka?

Mtu akifa anafanya mapenzi? Tusemeje?
 
 
JEHANAM inampokea kwa shangwe
Kuna Wanawake wamejitolea kusaidia Wanaume wasiingie kwenye mkumbo wa kupiga nyeto unachotakiwa ni kuchangia Pesa ya mafuta walau 10,000/- tu unapiga Goli lako safi kabisa
 
Kwani ni watu wangapi upiga nyeto kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…