mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Jamaa kajishambulia Hadi kifo aysee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda googleAlifa kwa sababu gani, toa maelezo kamili
Kijana mzembe mbona wadada wanatoaa sana, acha kusingizia wadada.inasikitisha sanaa.. wadada acheni ubinafsi
hadi uwe na hela ndio wakupeeKijana mzembe mbona wadada wanatoaa sana, acha kusingizia wadada.
Aise...kumbe siyo kweliMleta uzi kapotosha watu. Huyo jamaa hakufa kwasababu ya nyeto.
Naomi... 😯😯Aise...kumbe siyo kweli
Ova
One man down, I repeat, ONE MAN DOWN
Huenda alipiga viagra.Kumbe nyeto inauwa na hamsemi [emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo sio vijana kutotaka kuoa. Vijana hawaoi kwa sababu mbususu zimepanda bei sio kwa mapenzi yetu bali ni hali za maisha zinatufanya tuendelee kuwa single and hornyHiyo stori haipo ivo kufa kuusu nyeto.
Sema jamaa aliumwa akazidiwa ndani hadi kufa kwahiyo kama angekuwa kaoa asingekufa kizembe.
Ndio maan huyo mama anakazia vijana oeni ili uwe na mtu wakuku backup unapoumwa na kizidiwa.
Wakunielewa na anielewe
Bila hela mzeya ni kuperuzi tuu thread za "picha za warembo wakali duniani" Midekoo endelea kutupa rahaaahadi uwe na hela ndio wakupee
Mbususu zimepanda bei....ukimgusa tuu mrembo ujue tayari kodi hana, hela ya mtoto wa mjomba yupo hositali kameza shokaNyeto inauwa asee vijana acheni huu upuuzi
Itakuwa alikuwa na tatizo la shinikizo la juu la damu bila yeye kujijua. Matokeo yake wazungu wakaja na pressure ikapanda ghafla.Alikuwa na matatizo yake huyo
Sometimes ukichunguza utakuta kumbe ni madeni.