Kijana adaiwa kufariki akijichua

Kijana adaiwa kufariki akijichua

Hiyo stori haipo ivo kufa kuusu nyeto.
Sema jamaa aliumwa akazidiwa ndani hadi kufa kwahiyo kama angekuwa kaoa asingekufa kizembe.
Ndio maan huyo mama anakazia vijana oeni ili uwe na mtu wakuku backup unapoumwa na kizidiwa.
Wakunielewa na anielewe
Tatizo sio vijana kutotaka kuoa. Vijana hawaoi kwa sababu mbususu zimepanda bei sio kwa mapenzi yetu bali ni hali za maisha zinatufanya tuendelee kuwa single and horny
 
Alikuwa na matatizo yake huyo

Sometimes ukichunguza utakuta kumbe ni madeni.
Itakuwa alikuwa na tatizo la shinikizo la juu la damu bila yeye kujijua. Matokeo yake wazungu wakaja na pressure ikapanda ghafla.

Kuna magoli yanakuja na style yake, nakumbuka kipindi nikiwa kijana nilipiga moja misuli ya tumbo ikakaza wakati nafyatua...hatari sana!!
 
Back
Top Bottom