Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
Wajapan wanaongoza kwa kujitoa uhai duniani nao ni Wasukuma?Wasukuma ushamba mwingi Sana,waoga Sana,hawana exposure,Mimi was hukohuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajapan wanaongoza kwa kujitoa uhai duniani nao ni Wasukuma?Wasukuma ushamba mwingi Sana,waoga Sana,hawana exposure,Mimi was hukohuko
Tieli this is something other people won't talk about, but it's 💯 correct 😔Maisha haya yana siri nyingi bila kusahau taabu na mateso ya dunia, usikute alikuwa anavurugwa na mambo mengine pia ya kimaisha ukiongeza na hilo akaona bora kufa
Mshukuru Mungu,maisha hayafananiAlafu nipo na miaka 25 nimehitimu chuo, huyo yupo Darasa La saba hawajakosea umri kweli?
Watoto wakisukuma huwa wanaanza shule akifika darasa la tatu anaacha anakaa miaka hata minne nyumbani badae anajipeleka tena shule kuanza darasa la kwanzaMm nmehitimu chuo na 19 afu we na 25 ujakosea umri kweli?
It's not about age it's about mentality pal, we've just lost an innocent soul here ,
I insist adhabu kali ichukuliwe kama itathibitika kua kaonewa.😔
Wengine 18 mtu kahitimu.Mm nmehitimu chuo na 19 afu we na 25 ujakosea umri kweli?
It's not about age it's about mentality pal, we've just lost an innocent soul here ,
I insist adhabu kali ichukuliwe kama itathibitika kua kaonewa.😔
Umemiss point mzeeWajapan wanaongoza kwa kujitoa uhai duniani nao ni Wasukuma?
Rip
Mi nimemaliza std 7 Nina miaka 13!
Huyo marehemu miaka 22?? Kuna kitu hakipo SAWA.
Kumbe umesoma alfu unakuwa mjinga wkt mwingineDuuuh yeye yuko std 7, mie ndo namaliza chuo hivyooo, tena course ya 4yrs.
RIP mate
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi tabia ya ya kuzingiziwa ujalipa bili Ni mbaya San kwenye jamiiView attachment 2459915
Kijana anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amefariki kwa kunywa sumu ya panya, akihofia kudaiwa Sh 45,000 aliyoagizwa kununua soda.
Akizungumuzia tukio hilo, mama wa marehemu, Shija Anthony, amesema mwanaye alijiua siku ya sikukuu ya Krismasi, Desemba 25, 2022, ambapo alipatiwa fedha hizo na muuza duka kufuata vinywaji duka la jumla.
Amesema baada ya kufika duka la jumla alilipia na kukabidhiwa vinywaji na alipotaka kuondoka alizuiwa na kuamriwa kurejesha vinywaji na alipoeleza ameshalipia wahusika hawakumuelewa.
“Basi akaja kwa yule bosi wake aliyekuwa amemtuma, akaja kumueleza, ikabidi waende na yule bosi, walipofika kule wakaambiwa huyu mtoto hela ya vinywaji hajalipia.
“Yule bosi naye akamwambia, wewe dogo mimi nataka hela yangu, ukija dukani uje na hela, baadaye sasa wakati mimi napika akaniomba funguo, akatoka na kikombe cha maji, akaingia kwake akafunga,” amesema na kuongeza kuwa mwanawe alihitimu darasa la saba mwaka huu.
Ameeleza akiwa ndani mwanaye alikunywa sumu na kuanza kutapika na baada ya kubaini walifanya juhudi za kumpeleka zahanati kupata huduma ya kwanza, lakini hawakufanikiwa kuokoa uhai wake.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Ally Kitumbu amethibitisha tukio hilo na kueleza uchunguzi unaendelea kupata kiini halisi cha tukio hilo.
Habari Leo
Hi tabia ya ya kuzingiziwa ujalipa bili Ni mbaya San kwenye jamiiView attachment 2459915
Kijana anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amefariki kwa kunywa sumu ya panya, akihofia kudaiwa Sh 45,000 aliyoagizwa kununua soda.
Akizungumuzia tukio hilo, mama wa marehemu, Shija Anthony, amesema mwanaye alijiua siku ya sikukuu ya Krismasi, Desemba 25, 2022, ambapo alipatiwa fedha hizo na muuza duka kufuata vinywaji duka la jumla.
Amesema baada ya kufika duka la jumla alilipia na kukabidhiwa vinywaji na alipotaka kuondoka alizuiwa na kuamriwa kurejesha vinywaji na alipoeleza ameshalipia wahusika hawakumuelewa.
“Basi akaja kwa yule bosi wake aliyekuwa amemtuma, akaja kumueleza, ikabidi waende na yule bosi, walipofika kule wakaambiwa huyu mtoto hela ya vinywaji hajalipia.
“Yule bosi naye akamwambia, wewe dogo mimi nataka hela yangu, ukija dukani uje na hela, baadaye sasa wakati mimi napika akaniomba funguo, akatoka na kikombe cha maji, akaingia kwake akafunga,” amesema na kuongeza kuwa mwanawe alihitimu darasa la saba mwaka huu.
Ameeleza akiwa ndani mwanaye alikunywa sumu na kuanza kutapika na baada ya kubaini walifanya juhudi za kumpeleka zahanati kupata huduma ya kwanza, lakini hawakufanikiwa kuokoa uhai wake.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Ally Kitumbu amethibitisha tukio hilo na kueleza uchunguzi unaendelea kupata kiini halisi cha tukio hilo.
Habari Leo