Kijana ajiua akihofia kudaiwa Sh 45,000

Kijana ajiua akihofia kudaiwa Sh 45,000

Kwani alikuwa na tatizo lolote la afya ya akili? Maana miaka 22 ni mtu mzima na anauelewa wa kuweza kujitete na kudai haki yake.
Kama yuko darasa la saba, inaelekea hata akili haijakomaa kwa kuwa na watoto muda wote, waalimu/ wazazi/jamii kumchukulia ni mtoto.
 
umri wake ndio tatizo.serikali ya ccm ina miaka chini ya 60 inadaiwa matrioni ila hata siku moja itaki kuachia nchi
 
Back
Top Bottom