nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
- Thread starter
- #21
Acha kuwa curious wewe twende Kwa Ushauri.Yaan umalize chuo Tu uwe tajiri??kwani ulikuwa unasomea kutengeneza pesa?? Yaan uje na degree yako ya unesi, procurement, language ( kuna MTU alisema ana degree ya kiarabu)....sijui degree ya fyoko fyoko utajili utauona na kuusikia nyumba ya jirani
Nipe madini Mimi nataka kufanikiwa Tu.